Vyombo binafsi kama ITV, star times, Azam na redio mbalimbali ziruhusiwe ,ziweze kuonyesha, cut cost ipo kwenye vyombo vya serikali basi vyombo binafsi ni wakati basi wao waendelee kutoa huduma hiyo kwa wananchi. Kama watu mil 5 au zaidi wanaangalia hicho kipindi kwa nini msiwapatie haki yao? hata kama ni jobless, lakini wanahaki ya kujua kinachojili na hatima ya nchi yao. Pili, serikali ina mpango mzuri wa kupunguza gharama lakini tumewahi jiuliza ni kwanini vitu vya serikali kama TBC,viwanda, ATCL, reli..... vimekufa? wakurugenzi au serikali uwezo wao wa kuviendesha hivi vyombo kibiashara ni mdogo, huu ulikuwa ni wakati mzuri wa TBC kujitangaza kibiashara kwani zaidi ya watu M5 wanatazama, converts 5M people into revenue, hapo ilitakiwa wapate pesa za matangazo ya biashara, Kituo kitakuwa famous na kuattract wawekezaji zaidi na kuzidi kujitanua, ndo maana kila mwaka ,50 yrs TBC ni ileile palepale Dar, nilitegemea muda huu TBC ingekuwa imeshafika au kuwa na branches mikoa yote ya TZ, tumeishia kusema ohh gharama ni kubwa, ohhh hakuna ruzuku ohhh chombo cha serikali, tutaishia kuanzisha vitu vinakufa kwa sababu ya kuendesha vitu kisiasa zaidi kuliko kibiashara. Watu hawa hawana marketing plan, no website, no google promotion/per click, no yahoo promotion, no face book promotion, no online streaming, sasa serikali kwa utendaji huu mbona majibu kila mahali? tumekuwa na watu incompetence kila sector, anzia wabunge walewale, serikali yale yale, mawaziri wale wale, tujiulize, kama wabunge wetu ni competence kuna haja ya kuogopa bunge kutorushwa live kwa kisingiziio cha umaarufu wa chama fulani utashuka au utaongezeka?, toa hoja nitoe hoja, kama bunge kinajadili muafaka wa taifa bila upendeleo haki zinafuatwa wht is the problem? kama wananchi wanatazama au hawatazami wht is the problem, TBC ilitakiwa wafocus kwenye biashara tu, focus on looking subscribers, sasa mtapata subscribers kama hamtajulikana? mtapata wapi matangazo? ,tukiibana sana TBC maana yake itakufa. Ilitakiwa serikali kama ina 5OM usd ya TV invstments wawaambia hao TBC, my friend atter 5 yrs nikute TBC kama hii 7 mwanza, zanzibar, arusha, mbeya, tanga, dodoma,.........., Hii ndo key performance indicator yenu (KPI).