RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,757
Hoja mfu eti ni wakati wa kazi ... Sisi analyst tunaotegemea TV kuchambua tuende Bar asubuhi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ivyo my friend,,,kwa mujibu wa maandiko matukufu na kauli ya M/ mungu isiyo na Shaka, anasema ya kwamba;; '' UMPA UFALME AMTAKAE,,NA UMUONDOLEA UFALME AMTAKAE KATIKA WAJA WAKE,, kwaiyo kama mungu hajataka wewe uwe kiongozi katika nchi,,utamaliza makafara,,,,ila kila alichofanyalo mungu huwa na maana kubwa mwenyewe,,kwaiyo ngojea tuone mwisho wa Ccm,,ila nahisi mwisho wa ccm utakuwa mbaya mno huko katika vizazi vyetu vijavyo vya wasomi,,baada ya sisi wazee wao wajinga kuondoka ktk mgongo huu wa ardhi,,,......katika comment zooote za mwaka huuu hii nimecheka mno
Wanaposema ruzuku maana ake ni kuwa TBC ni Ofisi ya Serikali hivyo basi ina bajeti yake kwa ajili ya kila kitu inachofanya na bajeti ilishapita mkuuNi bora kufanya utafiti kidogo maana siku hizi ruzuku ni kama hazipo kabisa. Kwa sasa mashirika mengi ya umma yanatakiwa kujiendesha bila kutegemea ruzuku toka serikalini. Kwa hali kama hiyo TBC itabidi ibane matumizi hakuna jinsi. Maoni yangu ni kuwa Wabunge wapunguziwe marupurupu ili fedha hizo zigharamie suala hili
Hizo ni ndoto, baada ya ESCROW waliopata shubili ni afisi za serikali kama TBS ambazo ruzuku zake kama ilivyopangiwa katika Bajeti zilipungua hadi chini ya 30 percent. Nasema acha theories tafuta uhalisia. Muite Mshana kama yupo hapa JF anaweza kukuelezaWanaposema ruzuku maana ake ni kuwa TBC ni Ofisi ya Serikali hivyo basi ina bajeti yake kwa ajili ya kila kitu inachofanya na bajeti ilishapita mkuu
Na hizo fedha zinazotengwa kwa ajili ya madawati shuleni nazo zipelekwe wapi?Kama gharama ni kubwa hakuna haja ya kurusha mipasho hiyo, pesa hizo zielekezwe kwenye huduma nyingine za jamii mfano kununua madawati shuleni n.k