TBC CCm , baada ya TIdo Mhando kuondoka TBC basi chombo hikincha habari kiliyumba kwa kiasi kikubwa sana na hii ni laana kutoka kwa mwenyezi mungu maana TIdo aliitoa tbc mbali lakini alilipwa kufukuzwa kazi, Tbc wanaonyeshaga tamthiliya za wadada wakiwa uchi hivi nano analipia vile vipindi? wanaonyeshaga miziki ya wadada wakiwa uchi nani ana gharamia vile vipindi? Star tv na Azam wanao onyesha live masaa yote nani anagharamia Vile vipindi. Ujio NEPI NI MKAKATI WA KUDUMAZA UHURU WA KUPATA HABARI.ULIANZA NA MAWIO UMEHAMIA TBC CCM KESHO UTAMALIZIA AZAM, STAR TV, ITV N.K