nimebadika juzi
Senior Member
- May 29, 2015
- 183
- 29
we jamaa mbn huelewi umemsikiliza vizur au ni mahaba hata penye ubovu?unakurupuka kama serikal yakoTatizo siyo gharama amesema hivyo ili wavivu msilalamike lkn sababu hasa ni kwamba huu ni muda wa kazi na siyo wa kuangalia luninga, hivyo fanyeni kazi na Bunge mtaliona jioni baada ya kazi au wkend!