Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakubalia kabisa na kusitisha kuonesha Live bunge itasaidia watu kujenga hoja na kwa hakika wale wanao penda kujipatia umaarufu kwisha habari yao....Kwa nilivyoona leo wanavyozomea bora tu wasitishe labda itasaidia wabunge kuwa makini maana wengine alitumia nafasi hiyo kuwa maarufu kwa kutukana kuzomea na kufanya vituko wakijua kesho wataandikwa magazeti na kuongelewa kila kona
Safi sana Magufuli
hapa kazi tu
Cha kushangaza wanao lia ni wale wano iponda kila siku TBC na wanasema huwa hwwaiangalii....Poleni sana wakuu naona nape kawatouch sana,lakini nahakika sio uamzi wake pekee.
Zama za kuuza sura kwenye luninga zimepita,NI KAZI TU
Ni kweli aise, walimvumilia sana Dr. Ulimboka. Kama haitoshi wakamvumilia Mwangosi wa habari. Wakazidi kumvumilia mpare wa katiba!Hii serikali ya Magufuli lenyewe Ni jipu. Hawataki likosolewe. Tv za majirani zetu wanashindana kuonyesha live matukio yote muhimu kwa maslahi ya watu wao,sisi ahh. Jamaa wanaonyesha hadi kesi za mahakani. Awamu hii wako too manual.
Hapa tutamkumbuka Kikwete,alikuwa mvumilivu Sana kwa wakosoaji wake,sio hawa wa sasa.
Sishangai Sana,maana waziri wa habari na michezo hajui hata TFF ni nini,inasimamia nini na wapi. Majipu kila kona
hii nchi ilihitaji rais wa namna hii kitambo...na yule mkuu wa wilaya aliyepiga walimu mijeledi arudi mzigoniHakutuambia kuwa ni dictator
Teh Teh...hihihihihihiih ccm ni ileile haina mbinu mpya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, reginald mengi yupo ajili yetu sisi wazalendo tutaona mpaka huku kwetu nanjilinji
Hivi kikijitokeza kituo kama Citizen cha Kenya au kingine chochote wakasema wanarusha bila kutoza gharama kwa yeyote itakuwaje!? ...au ndipo tutajua unafiki wa wanasiasa wa TZ!Shirika limekuwa likigharamia kwa sehemu kubwa matangazo hayo kwa kutumia mapato yake yanayotokana na matangazo madogo madogo ya biashara, ifahamike kuwa asilimia 75 ni vipindi vingi vinavyolenga kutoa elimu kwa umma na asilimia 25 ni burudani.
BBC unayoiona wewe ni BBC International, ukiwa Uk wana BBC kama tatu hivi pamoja na Bbc za redio kama 6 hivi, kuna bbc moja bunge ni laivu, yaani house of commons sijui house of lords ni laivu!Hivi BBC inaoneshaga bunge live?
Kuna tofauti gani kati ya hichi wanachokifanya na udikteta....Kuwa kinafaa tukione...