TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Nina wasiwasi Magufuli anaweza kuwa rais wa kwanza Tanzania kuongoza kwa muhula mmoja tu,kwa kasi hii anayokwenda nayo ya kuirudisha nchi kwenye zama za ujima!hata mimi niliyefikiria kumpa kura yangu mwaka 2020 sasa nimeanza kuingiwa na mashaka naye,he might turn out to be the worst President ever,Kikwete will turn out to be the best one ever,time will tell.