TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

Kile kitengo wangewapa NIT wenye ujuzi wao kuhusu magari wawasaidie kazi
Ni ushauri tu mkipenda chukueni
Yeyote yule alipewa kitengo kwa Tz hii lazima afikirie namna ya kuliga.Dawa ilikuwa ni mchakato kufanyika kulekule Japan.
 
Hicho kitengo kipo kwa ajili ya rushwa na serikali kupata mapato kama wapo serious kweli wapunguze kodi za magari waone kama tutaagiza vi passo kila kikikaguliwa hakieleweki kama kipo sawa...unaleta gari mpaka mkaguzi mwenyewe anajiuliza cha kugakua...
 
Wapelekee hela za takukuru acha kulia lia.
 
Kweli kabisa....
 
Hivi SAMIA amefuta ile ELFU 5 YA KU-BRASH viatu ambayo polisi waliambiwa na JPM wachukue kwetu?
Je, ipo kisheria(tamko la rais) ama ipo kienyeji tu, je SAMIA mtu safi mshika dini safi kabisa ataendeleza dhulma hii akose pepo?
 
Hapo PCCB hutakaa uwaone, wanasubili moaka watu watumbuliwe ndo wao uwanone, tuna Taasisi ya Hovyo dsna ya kupamvana na Rushwa, PCCB yenyewe ni tatizo
 
Ina maana hao takukuru bila kuandika hapa hawaoni ?

Hawana intelligence yao kujua haya mambo
Haaaa hawa ni Mbws asio kuwa na meno, wanacho subilia ni hadi ile mtu katumbuliwa ndo wao sasa wajifanye kudili naye, angali ishu ya Sabaya kea mfano
 
Bora mfumo wa zamani urudi, sisi tunasumbuana sana!
 
Hii kitu waliyoanzisha imetengeneza tu rushwa
Kwa jinsi nchi hii ilivyo na watendaji wezi,dhuluma upigaji unategemea nini hapo

Ova
 
Bora mfumo wa zamani urudi, sisi tunasumbuana sana!
Ukirudi wa zamani Ni dilli ya mkurugenzi.
Mnakumbuka Kuna mkurugenzi TBS alipiga hii hela ya ukaguzi mpaka akanyea debe gesti ya serekali miaka minne.
 
Wana mambo ya ajabu bora ukaguzi wa japan urudie ama wahamishiwe kule wafungue ofisi ndogo kule
Akili za Mtu mweusi,eti anaanza kufanya ukaguzi wakati Mzigo ushafika Nyumbani! Ukaguzi unatakiwa ufanyikie hukohuko sokoni,na Kama utakutana na nyanya mbovu,itakua rahisi kwa muuzaji kukubadilishia nyanya nyingine! Kwa TBS ndiyo wanatakiwa wawe na office huko Magari yanakotoka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…