Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
wewe utanufaika na nini ikirudi Japan?Ni bora inspection irudishwe huko huko Japan [emoji627]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe utanufaika na nini ikirudi Japan?Ni bora inspection irudishwe huko huko Japan [emoji627]
Kama no wivu sawa mkuu lakini saivi hali ndio imekuwa mbaya kabisa saivi gari unakuta kila kitu kipo poa lakini itaandikiwa kosa moja au mawili na hapo lazima 150k ikutokeNi wivu tu
Kuna watu wanaishi humu nchini kama wapo White house kwa Biden. Mtu hakosi 2m kwa siku tena za diliKama no wivu sawa mkuu lakini saivi hali ndio imekuwa mbaya kabisa saivi gari unakuta kila kitu kipo poa lakini itaandikiwa kosa moja au mawili na hapo lazima 150k ikutoke
Nimegundua hawa clearence agents wanakula na wale jamaa wa tbs pale bandarini
Katika inspection yao wao wanaona mataili tuHapa Wajerumani lazma mtakula sana mitama😂
NISHAENDAGA NA JAMAA YANGU MMOJAHapa Wajerumani lazma mtakula sana mitama😂
😅😅😅😅😅😅 mlipigwa na ma afsa tuNISHAENDAGA NA JAMAA YANGU MMOJA
NI MWALIMU ALIAGIZA GARI,KWENYE UKAGUZI
WAKAMWAMBIA TAILI HAZIFAI AKANUNUE MPYA AWEKE,ALAFU ARUDI TENA AFANYIEWE
UKAGUZI,MWALIMU AKAPAGAWA AKAONA MBONA GHARAMA YA GAFLA TENA
nkamwambia tulia wewe ngj nkupe idea uifanye urudi (------)alirudi kitu na box 😀😀
Au unataka tuwape mtonyo watu humu mzee
Ova
Hayo matairi ni mchongo tu lazma wakute yame expireKatika inspection yao wao wanaona mataili tu
Mengine hawana habari nayo....
Ila inspection wanaofanya haswa ni ukienda NIIT
Ova
Haya mapimbi haya anko Magu ndio alikuwa anayapatia...tumbua hadharani na Sheria kufuata mkondo🤔!Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
Si unakwenda kodi mapya unaweka unarudi unakagua,maisha yanaendeleaHayo matairi ni mchongo tu lazma wakute yame expire
Ukijidai kichwa maji hautoi gariSi unakwenda kodi mapya unaweka unarudi unakagua,maisha yanaendelea
Ova
Prado yangu ilikutwa tairi zimechakaa, nikaambiwa niweke mpya au nitoe laki 3, nikawaza tairi mpya nikawapa LAKI 3 .Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
Pimbi Nani hapo? Wewe unayetoa rushwa au anayepokea?Haya mapimbi haya anko Magu ndio alikuwa anayapatia...tumbua hadharani na Sheria kufuata mkondo🤔!
Oil leakage pia Lazima wakuning'ize. Pale pesa Lazima utoe au ususe gari.Katika inspection yao wao wanaona mataili tu
Mengine hawana habari nayo....
Ila inspection wanaofanya haswa ni ukienda NIIT
Ova
badala kutengeneza magari hapa nchini wanawa makusanyoKile kitengo wangewapa NIT wenye ujuzi wao kuhusu magari wawasaidie kazi
Ni ushauri tu mkipenda chukueni
Ina maana hao takukuru bila kuandika hapa hawaoni ?
Hawana intelligence yao kujua haya mambo
wote, wewe unayetoa na mpokeaji!Pimbi Nani hapo? Wewe unayetoa rushwa au anayepokea?
Wale njaa tu..unachokotafuta na wao wanakitafuta ili waendelee ku survive..chamsingi tafuta pesa tu..hao hawawezi kukusumbua..unawaweka kwenye payroll yako..hata ukila rushwa mbele yao watabaki kucheka cheka..Huku wilaya ma pccb yamechokaaaa yani huwa najiuliza haya kweli yakipewa chochote hayawezi kupokea . Gari lao bovu ofisi waliyokuwa wamepanga kodi imewashinda wameomba chumba ofisi ya mkurugenzi sasa najiuliza takijalibu kumgusa dedsi atayafukuza yakahangaike tena mtaani .yaniiiii
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app