TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

Ukirudi wa zamani Ni dilli ya mkurugenzi.
Mnakumbuka Kuna mkurugenzi TBS alipiga hii hela ya ukaguzi mpaka akanyea debe gesti ya serekali miaka minne.
tamaa inaharibu professional
 
haya ni Mambo ya ovyo kabisa utakaguaje mzigo ushafika nyumbani? nenda huko huko sokoni kakague
 
Acheni kulialia...hizo rushwa ndio zinaongeza mzunguko wa fedha mtaani! Serikali ya awamu ya sita imefungua nchi, mwendazake aliharibu uchumi wetu, acha kazi iendelee ati!
 
Gharama za ukaguzi na hiyo rushwa inafika bei gani? ili tujipange kuwachachafya.....lakini hili tulishalisema ukaguzi ufanyike huko huko gari iliponunuliwa kabla ya kusafirishwa kuja kwa mnunuzi, kama ilivyokuwa awali. Mbona ipo logical kabisa kwamba huwezi kununua nyanya sokoni ukaja kuzikagua nyumbani? hii ni kuwaingiza waagizaji hasara endapo hayo magari yatasafirishwa yakiwa mabovu huku muuzaji akiwa ameshalipwa pesa......
 
Nchi hii ukianzishwa utaratibu fulani basi ushatengeneza mwanya wa watu kupiga pesa

Ova
Imagine mtu anazuia gari isitoke kisa wishbone bush imekatika! Halafu ni mtaalam huyo. Anazuia hivyo akijua bush ya gari hio unaweza usiipate. Nafikiri unajua nini kitafuata
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili.
Nilivosikia kuna ukaguzi tena wa magari uku kwetu nakajua kitakuwa kilio kitakatafu yani nilichojiuliza kwa maana hatuwaamini wa Japan baada ya inspection tunabishana na waliotengeneza ilo gari? Yani aliyetengeneza gari anakwambia gari liko sawa, wewe ambaye ata tairi huwezi tengeneza unambishia? Gaddamit!!

STIFF NECKED FOOLS..
 
Acheni kulialia...hizo rushwa ndio zinaongeza mzunguko wa fedha mtaani! Serikali ya awamu ya sita imefungua nchi, mwendazake aliharibu uchumi wetu, acha kazi iendelee ati!
We msukule wa mwendakuzimu hii sheria alitunga babu yako dikiteta acha uzwazwa.
 
Yani waliposema wataanza kukagua magari hapa bandarini na sio kule nilijua kutakuwa na matatizo mengi sana.

Imagine ingekuwa kule inakuwa rahisi hata supplier kufix hizo dents kwa gharama yake kabla ya shipment sasa hii ushalipia gari halafu unaambiwa gari halifai ingali limeshafika port of destination hii inaandaa mazingira makubwa sana ya rushwa na mazingira ya kuingiza magari mabovu zaidi sababu itakulazimu kuhonga pesa.

PCCB be watchful lakini Mamlaka waangalie namna ya kurudisha system ya zamani.

Yan apo pia gharama kua za muagizaji katika kutengeneza na sio za wakala wala kampuni husika Yan Sbt wala be forward kwa kweli tutengemee magar mabovu....

Lkn gharama za matengenezo zingekua kwa maagent wataleta gar za maana kwa kweli serikali iangalie hili kwa jicho pana
 
Serikali ingeacha kukagua,iridhike na kaguzi zinazofanywa na makampuni ya kimataifa na certificate zinatoa.

Sanasana wawasiliane na kampuni inayokagua gari zinazoingizwa Tanzania wawe na mgao wao.
Vinginevyo ni wizi na usumbufu kwa waagizaji
 
Kile kitengo wangewapa NIT wenye ujuzi wao kuhusu magari wawasaidie kazi
Ni ushauri tu mkipenda chukueni

Kaka hayakustahili kukaguliwa uku ebu fikiria likikutwa bovu gharama ni kwa muagizaji sasa apo kwa inchi zetu za rushwa na ujinga gar itakosa dosari kweli?
 
Akili za Mtu mweusi,eti anaanza kufanya ukaguzi wakati Mzigo ushafika Nyumbani! Ukaguzi unatakiwa ufanyikie hukohuko sokoni,na Kama utakutana na nyanya mbovu,itakua rahisi kwa muuzaji kukubadilishia nyanya nyingine! Kwa TBS ndiyo wanatakiwa wawe na office huko Magari yanakotoka!!

[emoji1545]
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili.

Hizi ndiyo katika zile biashara haramu zinazofadhiliwa na mamlaka. Zingine ziko hapa:


Kwa mwendo huu PCCB wana kazi gani kama si sehemu ya wizi wa wazi huu?
 
Back
Top Bottom