Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii ukianzishwa utaratibu fulani basi ushatengeneza mwanya wa watu kupiga pesaTuliokuwa tunajua kinachoendelea pale NIT tulijus ukaguzi huu wa bandarini itakuwa mbaya zaidi.
#KaziNaIendelee
Imagine mtu anazuia gari isitoke kisa wishbone bush imekatika! Halafu ni mtaalam huyo. Anazuia hivyo akijua bush ya gari hio unaweza usiipate. Nafikiri unajua nini kitafuataNchi hii ukianzishwa utaratibu fulani basi ushatengeneza mwanya wa watu kupiga pesa
Ova
Nilivosikia kuna ukaguzi tena wa magari uku kwetu nakajua kitakuwa kilio kitakatafu yani nilichojiuliza kwa maana hatuwaamini wa Japan baada ya inspection tunabishana na waliotengeneza ilo gari? Yani aliyetengeneza gari anakwambia gari liko sawa, wewe ambaye ata tairi huwezi tengeneza unambishia? Gaddamit!!Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
We msukule wa mwendakuzimu hii sheria alitunga babu yako dikiteta acha uzwazwa.Acheni kulialia...hizo rushwa ndio zinaongeza mzunguko wa fedha mtaani! Serikali ya awamu ya sita imefungua nchi, mwendazake aliharibu uchumi wetu, acha kazi iendelee ati!
Yani waliposema wataanza kukagua magari hapa bandarini na sio kule nilijua kutakuwa na matatizo mengi sana.
Imagine ingekuwa kule inakuwa rahisi hata supplier kufix hizo dents kwa gharama yake kabla ya shipment sasa hii ushalipia gari halafu unaambiwa gari halifai ingali limeshafika port of destination hii inaandaa mazingira makubwa sana ya rushwa na mazingira ya kuingiza magari mabovu zaidi sababu itakulazimu kuhonga pesa.
PCCB be watchful lakini Mamlaka waangalie namna ya kurudisha system ya zamani.
Kile kitengo wangewapa NIT wenye ujuzi wao kuhusu magari wawasaidie kazi
Ni ushauri tu mkipenda chukueni
Yanakotoka magari TBS ,walisemaje au OFISI hawana
Akili za Mtu mweusi,eti anaanza kufanya ukaguzi wakati Mzigo ushafika Nyumbani! Ukaguzi unatakiwa ufanyikie hukohuko sokoni,na Kama utakutana na nyanya mbovu,itakua rahisi kwa muuzaji kukubadilishia nyanya nyingine! Kwa TBS ndiyo wanatakiwa wawe na office huko Magari yanakotoka!!
Ukiambiwa ukarekebishe maana yake ni kuwa unamaliza formalities za bandari na gari linakuwa huru kwenda kutengenezwa garageNa ukichelewa zaidi kutoa si kuna ile storage fees?
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
Walikataa yasikaguliwe huko tena , na ndo haya yanayotokeaYanakotoka magari TBS ,walisemaje au OFISI hawana