kwa nn utoe rushwa?!
toa taarifa haraka TAKUKURU akamatwe mara mmoja.
mwananchi kamwe usikubali kutoa rushwa, ukiona kuna dalili ya kuombwa rushwa usipoteze muda toa taarifa haraka.
tusiishie tu kulalamika kwenye mitandao badala ya kutoa taarifa ili waombaji rushwa wakamatwe.
toa taarifa haraka TAKUKURU akamatwe mara mmoja.
mwananchi kamwe usikubali kutoa rushwa, ukiona kuna dalili ya kuombwa rushwa usipoteze muda toa taarifa haraka.
tusiishie tu kulalamika kwenye mitandao badala ya kutoa taarifa ili waombaji rushwa wakamatwe.