TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

kwa nn utoe rushwa?!
toa taarifa haraka TAKUKURU akamatwe mara mmoja.
mwananchi kamwe usikubali kutoa rushwa, ukiona kuna dalili ya kuombwa rushwa usipoteze muda toa taarifa haraka.
tusiishie tu kulalamika kwenye mitandao badala ya kutoa taarifa ili waombaji rushwa wakamatwe.
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili.
Alafu unakuta anaetoa Dosari Magari kaanza kuyaona vizuri na kuyapanda ukubwani alipokuja Chuo UDSM.
 
kwa nn utoe rushwa?!
toa taarifa haraka TAKUKURU akamatwe mara mmoja.
mwananchi kamwe usikubali kutoa rushwa, ukiona kuna dalili ya kuombwa rushwa usipoteze muda toa taarifa haraka.
tusiishie tu kulalamika kwenye mitandao badala ya kutoa taarifa ili waombaji rushwa wakamatwe.
Kwa nini kesi ya Ngedere nipeleke kwa Tumbili?Kutoa taarifa takukuru ni sawa na kupeleka kesi ya Ngedere kwa Tumbili.
 
Kwa nini kesi ya Ngedere nipeleke kwa Tumbili?Kutoa taarifa takukuru ni sawa na kupeleka kesi ya Ngedere kwa Tumbili.
ukipeleka taarifa ya ukweli sio ya kumsingizia mtu au kumchafua basi ujue hatua zitachukuliwa mara moja.
ila usitoe rushwa halafu kisha baadae ndio unakuja kutoa taarifa, hapo na wewe utakuwa umetenda kosa la kutoa rushwa.
kinacho takiwa ni wewe ukiona umeombwa tushwa nenda ktk ofisi za takukuru ali waweke mbinu za kumkamata muombaji.
 
ukipeleka taarifa ya ukweli sio ya kumsingizia mtu au kumchafua basi ujue hatua zitachukuliwa mara moja.
ila usitoe rushwa halafu kisha baadae ndio unakuja kutoa taarifa, hapo na wewe utakuwa umetenda kosa la kutoa rushwa.
kinacho takiwa ni wewe ukiona umeombwa tushwa nenda ktk ofisi za takukuru ali waweke mbinu za kumkamata muombaji.
Hukuelewa wala kujibu nilichoandika!
 
Hivi takukuru ina fanya aje kazi? Ni mpaka waelekezwe waende sehemu? Wajiongeze na wawepo kila idara kama kweli kuna nia ya dhati ya kupinga rushwa.
 
Hivi takukuru ina fanya aje kazi? Ni mpaka waelekezwe waende sehemu? Wajiongeze na wawepo kila idara kama kweli kuna nia ya dhati ya kupinga rushwa.
Hawa takakuku hawako serious aisee, yaani wanategemea kupelekewa tuhuma za rushwa bila wenyewe kuwa proactive kuchunguza mazingira ya rushwa na kuwatia hatiani wale wanaojihusisha na rushwa.....sasa nilitegemea takukuru wawe wameshabaini rushwa kwenye ukaguzi wa magari kabla hata ya watu kuleta haya malalamiko mitandaoni, hovyo sana.
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili.
Kuna watu wana laana kabisa

Halafu hao hao waomba rushwa wakiugiliwa, wanalia kabisa wapewe priority na heshima kwasababu ni watumishi wa umma

There is a need for government to privatise these agencies na kuzifinya kiprivate sector kabisa

Waone dhahma ya wanayofanya
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili.
Mjini mipango. Miaka 60 toka tupate Uhuru
 
Nchi yetu kila sheria inapotungwa jua kuwa ulaji unafunguliwa, hili la kukagua magari nchini kwa akili ya kawaida lazima inamuumiza muagizaji, fikiria gari imeagizwa na inashida ya marekebisho makubwa badala ya mmikiki kutengeneza anatengeneza muagizaji tabu sana
Kama huwez piga mbizi
 
Imagine mtu anazuia gari isitoke kisa wishbone bush imekatika! Halafu ni mtaalam huyo. Anazuia hivyo akijua bush ya gari hio unaweza usiipate. Nafikiri unajua nini kitafuata
Maumivu

Ova
 
Ni bora inspection irudishwe huko huko Japan [emoji627]
 
Haya na mengine tutalalamika sana hapa, msisahau tuko kenye zama mpya zama za upigaji. zama za matamko bila matendo. tumerudi kule awamu ya nne.

nawe ukiweza kula rushwa eneo lako

#AWAMU YA 6 KAMA YA 4
 
Back
Top Bottom