Alafu unakuta anaetoa Dosari Magari kaanza kuyaona vizuri na kuyapanda ukubwani alipokuja Chuo UDSM.Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
Kwa nini kesi ya Ngedere nipeleke kwa Tumbili?Kutoa taarifa takukuru ni sawa na kupeleka kesi ya Ngedere kwa Tumbili.kwa nn utoe rushwa?!
toa taarifa haraka TAKUKURU akamatwe mara mmoja.
mwananchi kamwe usikubali kutoa rushwa, ukiona kuna dalili ya kuombwa rushwa usipoteze muda toa taarifa haraka.
tusiishie tu kulalamika kwenye mitandao badala ya kutoa taarifa ili waombaji rushwa wakamatwe.
ukipeleka taarifa ya ukweli sio ya kumsingizia mtu au kumchafua basi ujue hatua zitachukuliwa mara moja.Kwa nini kesi ya Ngedere nipeleke kwa Tumbili?Kutoa taarifa takukuru ni sawa na kupeleka kesi ya Ngedere kwa Tumbili.
Hukuelewa wala kujibu nilichoandika!ukipeleka taarifa ya ukweli sio ya kumsingizia mtu au kumchafua basi ujue hatua zitachukuliwa mara moja.
ila usitoe rushwa halafu kisha baadae ndio unakuja kutoa taarifa, hapo na wewe utakuwa umetenda kosa la kutoa rushwa.
kinacho takiwa ni wewe ukiona umeombwa tushwa nenda ktk ofisi za takukuru ali waweke mbinu za kumkamata muombaji.
Ndio la kushangaza hili!Ina maana hao takukuru bila kuandika hapa hawaoni ?
Hawana intelligence yao kujua haya mambo
Hawa takakuku hawako serious aisee, yaani wanategemea kupelekewa tuhuma za rushwa bila wenyewe kuwa proactive kuchunguza mazingira ya rushwa na kuwatia hatiani wale wanaojihusisha na rushwa.....sasa nilitegemea takukuru wawe wameshabaini rushwa kwenye ukaguzi wa magari kabla hata ya watu kuleta haya malalamiko mitandaoni, hovyo sana.Hivi takukuru ina fanya aje kazi? Ni mpaka waelekezwe waende sehemu? Wajiongeze na wawepo kila idara kama kweli kuna nia ya dhati ya kupinga rushwa.
Kuna watu wana laana kabisaViongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
unawashtaki kwa sheria gani mkuu? tupeane mbinuMimi ikatokea nimenunua gari wakaleta hizo mambo wataenda kulitoa mahakamani aisee na fidia watalipa
Ushamba sana
Mjini mipango. Miaka 60 toka tupate UhuruViongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa
Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.
PCCB naomba mlitazame hili.
Kama huwez piga mbiziNchi yetu kila sheria inapotungwa jua kuwa ulaji unafunguliwa, hili la kukagua magari nchini kwa akili ya kawaida lazima inamuumiza muagizaji, fikiria gari imeagizwa na inashida ya marekebisho makubwa badala ya mmikiki kutengeneza anatengeneza muagizaji tabu sana
Hapa Wajerumani lazma mtakula sana mitama😂Imagine mtu anazuia gari isitoke kisa wishbone bush imekatika! Halafu ni mtaalam huyo. Anazuia hivyo akijua bush ya gari hio unaweza usiipate. Nafikiri unajua nini kitafuata
MaumivuImagine mtu anazuia gari isitoke kisa wishbone bush imekatika! Halafu ni mtaalam huyo. Anazuia hivyo akijua bush ya gari hio unaweza usiipate. Nafikiri unajua nini kitafuata
Ni wivu tuLimekuwa tatizo kubwa sana na kero kubwa kwa waagizaji wa magari
Hicho kitengo kinanuka rushwa