TBS inakanusha kuwa ilipima bidhaa za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo vya kibiolojia

TBS inakanusha kuwa ilipima bidhaa za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo vya kibiolojia

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE anazidi kuumbuka kwenye hii vita ya vinyesi.

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE akiongozana na mpambe wake ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, wameangukia pua na kuambulia patupu kwenye propaganda yao ya vinyesi.

Tunataka ZEE LA USHOGA MWAKYEMBE afunguliwe mashtaka ya kuitusi mamlaka ya TBS.
Na wewe isijekua ndio nyie TBS kwa nini wasiwape madaftari na peni mswaki na dawa kwa nini?
 
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA, ashtakiwe mara moja kwa kuleta taharuki katika jamii na kusababisha hasara kwenye viwanda vya kutengeneza dawa za meno na pafyumu.

Ahukumiwe chap chap ili siku nyingine ajifunze kuepuka MBAMBAMBA na UBABAISHAJI wa hadithi za kusadikika zilizojengwa juu ya CONSPIRACY THEORIES.
 
At least, he stood up and said something.
Ni sawa lakini walau angekuja na ushahidi uliokamilika.

Kwani kwa hii taarifa iliyotolewa na tbs inaonyesha ni kama alikurupuka.
 
Kama Kuna mtu aliamiaini kile kihoja Cha Mwakyembe na yule mwandishi kanjanja huyo mtu ni zwazwa wa kiwango cha PhD.

Mtu na akili yako unaamini a single dosage ya toothpaste na perfume itakufanya uwe shoga kweli?

We don't condone ushoga ila muwe mnatumia akili mnapojenga hoja zenu against ushoga otherwise mnaanika uzwazwa wenu hadharani Kila mtu aone mlivyo weupe kichwani.
 
Ni sawa lakini walau angekuja na ushahidi uliokamilika.

Kwani kwa hii taarifa iliyotolewa na tbs inaonyesha ni kama alikurupuka.
Kwa nchi zetu SI rahisi kwa mamlaka kama TBS kukubali udhaifu.
Yote kwa Yote alipaswa kuwa na proof in details kuondoa tuhuma hewa kwa TBS.
Mwisho, he is a hero wangapi wamesimama kupinga Ushoga? We should congratulate him on the other side of the coin.
 
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE anazidi kuumbuka kwenye hii vita ya vinyesi.

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE akiongozana na mpambe wake ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, wameangukia pua na kuambulia patupu kwenye propaganda yao ya vinyesi.

Tunataka ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE afunguliwe mashtaka ya kuitusi mamlaka ya TBS.
Naona bwabwa umekasirika sana we endelea kufukunyuliwa utaonja joto ya jiwe
 
Kufuatia lile kongamano aliloshiriki Harrison Mwakyembe ambapo mmoja wa wazungumzaji alieleza uwepo wa dawa za meno na "body spray" zinazoongeza homoni za kike kwa wanaume. shirika la viwango Tanzania (TBS) limetoa tamko kukanusha madai hayo huku ikieleza inaendelea kufuatilia



JISOMEE HAPO CHINI


Dar es Salaam, 01 Aprili, 2023
"Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoelezea uwepo wa dawa za meno zinazotolewa kama msaada katika baadhi ya shule hapa nchini zinazosadikika kuwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) tumepima na kuthibitisha zina viambata ambavyo ni vichocheo vya kibiolojia (hormones) vinavyoathiri watumiaji hasa watoto wa klume.

TBS inakanusha maelezo ya kwenye ujumbe wa maneno unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ilipima bidhaa hizo za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo hivyo vya kibiolojia.
Aidha, TBS baada ya kupata taarifa hiyo imefanya ukaguzi na uchunguzi wa awali katika bidhaa husika na kugundua hakuna uwepo wa vichocheo hivyo vya kibiolojia

Hata hivyo TBS inaendelea kufanya ufuatiliaji wa suala hili kwa kushirikiana na maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.

TBS inawashukuru wananchi wote ambao wanaendelea kutoa ushirikiano kwani suala la udhibiti wa usalama na ubora wa bidhaa ni mtambuka (shared responsibility).

View attachment 2573100
Sidhani kama kila kilichopo sokoni kimepitishwa na TBS. Unless tuanze kuishitaki TBS kwa vitu vilivyoko mtaani ambavyo hawajapitisha.
 
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE alikuwa anawapiga fiksi wafuasi wake ili ajizolee KIKI KWA PIKIPIKI.

Mamlaka halali ya serikali TBS imethibitisha bayana na dhahiri kwamba ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE ni MCHEZA FUTUHI aliyeangukia pua kwenye vita baridi ya vinyesi.
Juhudi yako kutetea mashoga wenzio tunaiona.
Hongera ,sijui mtazaa lini?
 
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE alikuwa anawapiga fiksi wafuasi wake ili ajizolee KIKI KWA PIKIPIKI.

Mamlaka halali ya serikali TBS imethibitisha bayana na dhahiri kwamba ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE ni MCHEZA FUTUHI aliyeangukia pua kwenye vita baridi ya vinyesi.
Zile digrii zake nne hazimuongezei, elimu, ujuzi wala busara sasa anatafuta pa kutokea
 
Watanzania hatuna umaskini wa kupewa dawa za meno au neti za mbu
 
Duuh! Haya ngoja tusubiri taarifa ya huo ufuatiliaji unaoendelea.

Japo mwisho wa siku nawaza sijui huyo Mwakyembe ataiweka wapi sura yake.
Mwana Yanga unaweza amini kabisa Colgate wakaharibu brand yao waliyoijenga kwa miaka 100?
 
Juhudi yako kutetea mashiga wenzio tunaiona.
Hongera ,sijui mtazaa lini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kimsingi hata sijaanza kutetea chochote.

Hapa bado namsimanga na kumfokea ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA.

Tukifika kwenye kutetea, tutajikita na hoja zingine.

Hoja za sasa ni za MASIMANGO kwanza.
 
Mbona madawa yapo mengi tu feki mitaani humo, lakini yanatumika tuhh kiholela,, sembuse na hizo spray n.k.

Zikipita njia za panya mtazikamataje kwani.
Boss soma tena alichokiadika, ni KWA sababu wamehusishwa kwamba wamezipima na wamesema vina vichocheo. sasa njia za panya zinafata nini?
 
Zile digrii zake nne hazimuongezei, elimu, ujuzi wala busara sasa anatafuta pa kutokea
Katumwa kueneza propaganda na kufanya SPINNING. Wacha tunate na BITI.

Habari ya CAG na KAMALA ndio inaishia hewani hivyo.

Sasa ni mwendo wa kumfokea ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.
 
Back
Top Bottom