TBS inakanusha kuwa ilipima bidhaa za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo vya kibiolojia

TBS inakanusha kuwa ilipima bidhaa za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo vya kibiolojia

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA, anazidi kuumbuka kwenye hii vita baridi ya vinyesi.

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE akiongozana na mpambe wake ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, wameangukia pua na kuambulia patupu kwenye propaganda yao ya vinyesi.

Tunataka ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE afunguliwe mashtaka ya kuitusi mamlaka ya TBS.
Nawe ni miongoni mwa wanaofukuliwa mtaro?

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA, anazidi kuumbuka kwenye hii vita baridi ya vinyesi.

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE akiongozana na mpambe wake ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, wameangukia pua na kuambulia patupu kwenye propaganda yao ya vinyesi.

Tunataka ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE afunguliwe mashtaka ya kuitusi mamlaka ya TBS.
Lol..mashoga mpo wengi sana sana
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA, anazidi kuumbuka kwenye hii vita baridi ya vinyesi.

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE akiongozana na mpambe wake ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, wameangukia pua na kuambulia patupu kwenye propaganda yao ya vinyesi.

Tunataka ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE afunguliwe mashtaka ya kuitusi mamlaka ya TBS.
Shoga
 
Kufuatia lile kongamano aliloshiriki Harrison Mwakyembe ambapo mmoja wa wazungumzaji alieleza uwepo wa dawa za meno na "body spray" zinazoongeza homoni za kike kwa wanaume. shirika la viwango Tanzania (TBS) limetoa tamko kukanusha madai hayo huku ikieleza inaendelea kufuatilia



JISOMEE HAPO CHINI


Dar es Salaam, 01 Aprili, 2023
"Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoelezea uwepo wa dawa za meno zinazotolewa kama msaada katika baadhi ya shule hapa nchini zinazosadikika kuwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) tumepima na kuthibitisha zina viambata ambavyo ni vichocheo vya kibiolojia (hormones) vinavyoathiri watumiaji hasa watoto wa klume.

TBS inakanusha maelezo ya kwenye ujumbe wa maneno unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ilipima bidhaa hizo za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo hivyo vya kibiolojia.
Aidha, TBS baada ya kupata taarifa hiyo imefanya ukaguzi na uchunguzi wa awali katika bidhaa husika na kugundua hakuna uwepo wa vichocheo hivyo vya kibiolojia

Hata hivyo TBS inaendelea kufanya ufuatiliaji wa suala hili kwa kushirikiana na maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.

TBS inawashukuru wananchi wote ambao wanaendelea kutoa ushirikiano kwani suala la udhibiti wa usalama na ubora wa bidhaa ni mtambuka (shared responsibility).

View attachment 2573100
Hawa nao sijui akili zao zikoje? Hivi unaweza fanya uchunguzi wa awali alafu ukanushe kitu? Kwanino wasinhefanya uchunguzi kamili ndio waje na hii ngonjera?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kimsingi hata sijaanza kutetea chochote.

Hapa bado namsimanga na kumfokea ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA.

Tukifika kwenye kutetea, tutajikita na hoja zingine.

Hoja za sasa ni za MASIMANGO kwanza.
Kama nakuona unavyotikisa matako
 
Ni mjinga pekee atayeiona vita hii ni ya kitoto

Yaani TBC waunge mkono hiyo vita? Yanaingia akilini kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

TBS wameunga juhudi na kuchomoa betri.

Vidampa wafuata upepo mtapata visukari vya tabu sana.

Mpaka hii vita ya vinyesi iishe lazima wote mtakuwa mmeshatafunwa vijambio.

MWAKIEMBE atafungwa jela miaka sabini kwa kudharau mamlaka halali ya serikali TBS.
 
Hao TBS ndio wameongeza sintofahamu. Wanadai sio kweli ila bado wanalifautilia hilo suala kwa mkemia mkuu. Aise maajabu.
 
Kufuatia lile kongamano aliloshiriki Harrison Mwakyembe ambapo mmoja wa wazungumzaji alieleza uwepo wa dawa za meno na "body spray" zinazoongeza homoni za kike kwa wanaume. shirika la viwango Tanzania (TBS) limetoa tamko kukanusha madai hayo huku ikieleza inaendelea kufuatilia



JISOMEE HAPO CHINI


Dar es Salaam, 01 Aprili, 2023
"Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoelezea uwepo wa dawa za meno zinazotolewa kama msaada katika baadhi ya shule hapa nchini zinazosadikika kuwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) tumepima na kuthibitisha zina viambata ambavyo ni vichocheo vya kibiolojia (hormones) vinavyoathiri watumiaji hasa watoto wa klume.

TBS inakanusha maelezo ya kwenye ujumbe wa maneno unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ilipima bidhaa hizo za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo hivyo vya kibiolojia.
Aidha, TBS baada ya kupata taarifa hiyo imefanya ukaguzi na uchunguzi wa awali katika bidhaa husika na kugundua hakuna uwepo wa vichocheo hivyo vya kibiolojia

Hata hivyo TBS inaendelea kufanya ufuatiliaji wa suala hili kwa kushirikiana na maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.

TBS inawashukuru wananchi wote ambao wanaendelea kutoa ushirikiano kwani suala la udhibiti wa usalama na ubora wa bidhaa ni mtambuka (shared responsibility).

View attachment 2573100
GMO Acheni Kula mantiki. Mbegu za mazao ya asilo zimepotea hizi GMO siziamini kabisaa
 
Walisema mkemia mkuu nashangaa TBS wameibukia wapi

Msemaji alisema wazi kuwa walipeleka kwa mkemia mkuu sio TBS
Naam, kwenye video walisema kabisaaa kuwa ni Mkemia Mkuu alithibitisha.
Nadhani kuna kitu wanataka kuficha hapa!
 
Back
Top Bottom