Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiiweka hivi sina budi kukazia "sisi tupambane na viongozi wetu tu"Hao TBS Maboss wao wanakula rushwa tutamkumbuka Hayati Rais Magufuli alivyokuwa akisema kila wakati hataki mchezo na wal Rushwa. Na Rais Magufuli ana waonea huruma Wananchi wake lakini viongozi wetu wengi wao wanajali pesa kuliko Afya za Wananchi Wao. Tutaisoma Namba mpaka Mwisho wa dunia Kazi bado ina endelea mbele ..........
Ni kukosa uzalendo kwa nchi yetu .Hakuna kitu kibaya kama kukosa uchungu wa kuipigania nchi Yako ..wenzetu wa china wametushinda hapo tu ..Hao TBS Maboss wao wanakula rushwa tutamkumbuka Hayati Rais Magufuli alivyokuwa akisema kila wakati hataki mchezo na wal Rushwa. Na Rais Magufuli ana waonea huruma Wananchi wake lakini viongozi wetu wengi wao wanajali pesa kuliko Afya za Wananchi Wao. Tutaisoma Namba mpaka Mwisho wa dunia Kazi bado ina endelea mbele ..........
Aiseee mbona wamepima fasta na kupata jibu fasta hivyo? bidhaa nyingine utasikia sampo mpaka iwe nini sijui wana misamiati yao ya kizungu migumu hiyooo! Haya ngoja tuone matokeo yake Mungu aturehemu.Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage ambavyo vyote vimeongezwa Virutubishi vilivyotolewa na Wizara ya Kilimo ya Marekani kwa ushirikiano na Taasisi ya Jumuiya za Kimataifa (Global communities) kwa baadhi ya Shule za Dodoma, vyote ni salama kwa Walaji
TBS imesema taratibu za uingizwaji wa chakula Nchini zilifuatwa ikiwemo ukaguzi na uchunguzi wa Kimaabara
Meneja Uhusiano na Masoko wa TBS, Gladness Kaseka amesema "Utaratibu wa kuongeza virutubishi kwenye chakula (food fortification) unakubalika kitaalamu na hufanyika kwa lengo la kuboresha hali ya lishe kwa walaji.
Pia, soma; Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Waagizaji hawakupaswa kuleta mchele wa Msaada kutoka Marekani kwani Tanzania ina hazina ya mchele
View attachment 2937867
Endelea kushangaa mkuu, utakuja kushtuka hauna uhuru..Mimi nilishangaa watu walivyokuwa wanatoka povu kuhusu hii ishu. Kwamba NGO iingize vyakula bili idhini ya mamlaka husika??
Alichofanya Waziri ni damage control baada ya watu kuhoji. Hii program iko muda na uongezaji wa virutubishi haujaanza leo na upo kisheria.
Mbona tunakula unga wa ngano, mahindi, mafuta na chumvi vyote vimeongezwa virutubishi, hivyo virutubishi tunateneneza sisi??
BTW wakitaka kutumaliza hawashindwi.. wanaanzia kwenye dawa na chanjo za bure. Hatutaki hiyo misaada tujikwamue kiuchumi!!
Mkuu miaka 62 ya uhuru bado tunapewa misaada kwa ajili ya kupambana na matatizo ya lishe; huo uhuru umetusaidia nini labda.Endelea kushangaa mkuu, utakuja kushtuka hauna uhuru..
MUGUFULI tunakukumbuka baba; donor country tumeletewa mchele na maharage yenye virutubisho baba kweli tunafananishwa na kuku wa kisasa , kwanini wasilete nyama kama wanatupenda NYAU HAWA.
MkuuNAkubaliana na wewe mkuu kwa asilimia 100, kama sisi hatujipambanii acha watuue tu, maana kama sakata hili bashe katoka hadharani kaongopea umma asipowajibishwa ndo yaleyale ya kukosa uwajibikaji tu kama yule alosema "yupo ofisini anachapa kazi" mwisho wa siku waamuzi ni wananchi kwa ujumla wake
Ndo kitu kinachonshangaza kwa wale wakosoaji wa huu msaadaMkuu Tanzania hatuna njaa unamaanisha??
Unajua ni familia ngapi zina uwezo wa kula milo 3 tena yenye mboga 1?? Ni shule ngapi zinawapa watoto uji?? Halafu tunalalamika watoto wetu hawafaulu wakati hata uwezo wa kuwapa milo bora hatuna
Umeongea point sana; shule nyingi za serekali wanafunzi wanashinda njaaWakuu msada ni msada tu haiwezekani mtu atake kukupa msaada kisha umpangie mashariti
Kama nyinyi mnamchele mwingi Tanzania mbona hao watoto wanashinda na njaa huko mashuleni
sukari si imewasumbua hapa muda mrefu sana? umesahau mafuta ya kupikia kuna kipindi yalifika tsh 45,000 kwa lita 5 ?dogo nyie mbona wasahaulifu sanaKwahiyo siku hizi tunaagiza mchele na mafuta ya alizeti kutoka marekani? Basi tuagize na nyanya kutoka UK
Mimi kama MwanaNchi nacho hoji Tz Kuna njaa kiasi Cha kusaidiwa chakula kweli? Kwanini tumelia na uhaba wa sukari hawajaleta je tuliomba au wao tu wameona watupe ?Mimi nilishangaa watu walivyokuwa wanatoka povu kuhusu hii ishu. Kwamba NGO iingize vyakula bili idhini ya mamlaka husika??
Alichofanya Waziri ni damage control baada ya watu kuhoji. Hii program iko muda na uongezaji wa virutubishi haujaanza leo na upo kisheria.
Mbona tunakula unga wa ngano, mahindi, mafuta na chumvi vyote vimeongezwa virutubishi, hivyo virutubishi tunateneneza sisi??
BTW wakitaka kutumaliza hawashindwi.. wanaanzia kwenye dawa na chanjo za bure. Hatutaki hiyo misaada tujikwamue kiuchumi!!