Hahaha,ukipungukiwa ya bia au vant nitafute kama zamani mkuu.ingawa siku hizi umenipotezea,sijui umepata mwingine ππππ..alafu sijakuona siku ming sana almost 3yrs..hakuna raha kama upewe hela na mwanaume jamani..nasema hakuna raha kama hiyo..tunajihisi kuwa safe balaaππ! Mm leo wala kesho sitak hizo kwanza...! Nataka had june nijiipue kunguza jotoridiπ!
Mapema sana boss kubwaπ₯°..umri huu nan atanitaka mkuu..ndo maana unaona najitaftia zangu tu mkuuπͺHahaha,ukipungukiwa ya bia au vant nitafute kama zamani mkuu.ingawa siku hizi umenipotezea,sijui umepata mwingine π
Kumbe ww shemelaaaaπ₯°π₯°Duh kumbe wewe msukuma,nmeoa kwenu usukumani..maeneo ya ISAKA.
Fungua PM Mkuu,najua tumewahi chati lakini kuikuta pm yako ni safari ndefu..Mapema sana boss kubwaπ₯°..umri huu nan atanitaka mkuu..ndo maana unaona najitaftia zangu tu mkuuπͺ
Naam Mkuu,wasukuma wamenipa mtoto Mzuri.Kumbe ww shemelaaaaπ₯°π₯°
Naam Mkuu,wasukuma wamenipa mtoto Mzuri.
Fungua PM Mkuu,najua tumewahi chati lakini kuikuta pm yako ni safari ndefu..
Pamoja Mkuu.Niko safarini mtandao unasumbua ntakuchek usk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. juzi Kati nilikunywa nikakamatia demu nusu akimbie yani.. akaniambia mganga alie nipa dawa ni noma akajua labda nimemmezea dawa yanihahaha afu ni mpenzi w hiyo kitu..ajabu nashangaa inashaulisha hadi kichwa chini kinakosa ushirikiano na cha juu!ukinywa zaid y vichupa 3 unaona kbs kichwa cha chini na juu havina ushirikiano
Piga tu mchumba maisha ndo haya haya! Usisahau kunioa[emoji41]
HhHhHahhaahahaa dahUjumbe kwa wazee wa K-veveView attachment 1799592
πππ Taabu yote ya nini? Sijawahi jificha kunywa pombe kwa wazazi tangu nimeanza kujitegemea nikiwa na 24. Nilienda home mama au baba (r.i.p) anauliza tukuletee beer gani? Nikatae mwenyewe tu kwa aibu...Mimi nyumbani ndo mnywaji kuliko wote akifatia mdogo wangu wa kiume.Mi mpk leo baba na mama wanaguess tu kama nakunywa .kuna wambea walishawaelza kuwa siku hiz nakunywa( ila waliwahi niuliza nikachomoa ..ππ)...hahaha ss tulikutana msiba wa babu hahaa mama ananiona muda wote nna chupa ya maji..ila anamwambia mamdg mbona kulwa amechangamka namna hiyo? Mamdg anamjibu anacelebrate maisha ya babu yake....hhahaaa misiba ya wasukuma wanaitaga kwaya esp AIC..Basi nilicheza sebene la Ia AIC utadhan na mm mwanakwaya had saa11 alfjir! Kitu cha kvant hicho..!πππ
πππ Taabu yote ya nini? Sijawahi jificha kunywa pombe kwa wazazi tangu nimeanza kujitegemea nikiwa na 24. Nilienda home mama au baba (r.i.p) anauliza tukuletee beer gani? Nikatae mwenyewe tu kwa aibu...Mimi nyumbani ndo mnywaji kuliko wote akifatia mdogo wangu wa kiume.
Zamani nilikuwa najificha kwa mama mkwe nikaona huu uboya Sasa..tumeenda kwenye harusi pombe za kumwaga nikasema Leo liwalo na liwe lazima ninywe...nikavuta Serengeti light taratibu na mama mkwe yupo hapo pembeni yangu.
Nikasema Kama mungu ananiona basi sipaswi kujificha kwa mtu yoyote.
Ha haha chizi wewe umenichekesha hapo mwisho. Hebu lewa na mama mkwe siku moja uje kutusimulia, si anakunywa?Hahajaa nilishakuambia familia yenu mna uzungu..ww si unamuona mama yako alivyo sista duu? Mm kwetu hakuna hizo mambo .kwanza toka nazaliwa sijawahi ona chupa ya bia home .amini hili...baba ameachaga pombe 1990 tukiwa bado wadogo...ss hv baba hapend sikia mwanaye anakunywa pombe...mama ndo msabato had anakifu! Weee sisi hom tunajificha shoga .maana mama atakufa kwa presha ingawa najua anajua tunakunywa!
Mimi siwez kunywa na mama mkwe aisee . ! Ntalazimisha nilewe nimuulize hili toto lako umelileaje!aku! Sitak...! Inaboa sana kujificha aise!
pamoja na alkasusu, wanaume wnatukoa jamani.Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Ha haha chizi wewe umenichekesha hapo mwisho. Hebu lewa na mama mkwe siku moja uje kutusimulia, si anakunywa?Hahajaa nilishakuambia familia yenu mna uzungu..ww si unamuona mama yako alivyo sista duu? Mm kwetu hakuna hizo mambo .kwanza toka nazaliwa sijawahi ona chupa ya bia home .amini hili...baba ameachaga pombe 1990 tukiwa bado wadogo...ss hv baba hapend sikia mwanaye anakunywa pombe...mama ndo msabato had anakifu! Weee sisi hom tunajificha shoga .maana mama atakufa kwa presha ingawa najua anajua tunakunywa!
Mimi siwez kunywa na mama mkwe aisee . ! Ntalazimisha nilewe nimuulize hili toto lako umelileaje!aku! Sitak...! Inaboa sana kujificha aise!
Duh..konyagi kabla ya kuswaki...ni nomaaMama atafunga na kuomba na kuomboleza hahaaa sema mm muda wote nimechangamka...siku moja nikaenda hom ths yr nikapitia ninywe kidg nikifika nilale tu..! Nikanywa wine chupa 2π€£π€£! Acha zinitende? Nikalewa...uwiii...bas nilikua naongea balaa kumbe najiexposeπ€£! Ila nilibisha...nikasema mh hapana sikunywa hata maji!
Mama mkwe sio mnywaji .ni bata wa konyagi...anaamka asbh anagonga konyag kbla ya kuswaki..! Ntaharibu shogaangu..yaan ntaharibu ntamfanya apoteze nguvu za kike!
Kwanza toka asikie niko geita ameninuniaaga.hahaha anamwambia mwanaye huyu akikuzidi hela usije tena kunilalamikia ..π€£π€£! Ananiambia mama( ananiitaga mama) unajua mchicha ukiusimamia vzr unapata 3m kwa mwezi? Hapo anataka nirudi nikose hela waendelee kunichukulia poa
Nikamjibu kama mchicha unapata 3m kwa mwezi mpe hilo dili mwanao walau apate ya mafuta!π! Ila uzuri alishawah sema anahis mm nna hasira sana! So ananiheshimu kwa mbaliii na mm vile vile tunacheka kinafik!
Ha haha chizi wewe umenichekesha hapo mwisho. Hebu lewa na mama mkwe siku moja uje kutusimulia, si anakunywa?
Hivi kweli na utu uzima huu nimfiche mtu kuwa sinywi pombe??? No way kwa kweli.
Ila nakuelewa sana..km wazazi wapo hivyo huna budi kujificha usije ukawasononesha.
Duh..konyagi kabla ya kuswaki...ni nomaa
tuwe honest mkuu ukikutana na ma junk wenye tamaa na wafiraji si wanakufira vizuri tu unaachwa na mbegu???nilikuwanywa chako ni chako na washakajii sijuii hata niliwaachaje kizurii bili ilikuwa imelipwa kasoro bia nimejikuta home nimelala na sijuii mlango nilifungaje K-VANT balaa
ohooooooh π€£ π€£ π€£ hii mambo ndo haifai hivi utashtaki wapi?na umefanywa nini na nani ukiwa wapi? hebu tuone ushahidi!!tuwe honest mkuu ukikutana na ma junk wenye tamaa na wafiraji si wanakufira vizuri tu unaachwa na mbegu???