Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saingine unakuta unamtumia mti msg za kumpaka kisha ukija kukumbuka unasema yule me alinfanya nini mpk nim2mie msg zileMe nikinywaga K-vant najitahidi sana nisishike simu yangu. Huwa najikuta nimecomment vitu vya ajabu sana kwenye magroup. Pia na outgoing call ambazo sijui niliongea nini na muhusika. Duh!
Ila madame unanifurahishaga sana hv mwanao naye si mtundu kama ww!?Acha tu.
Inaweza kukuletea aibu mwaya.
Mie sahv nainywa kwa kiasi japo si sana
Kuna rafiki yangu alikunywa k-vant ile siku ya Eid akiwa na manzi yake.Usiku wakaelekea home kufika geti limefungwa.Ili kuepusha usumbufu wa kugongea watu wamelala ikabidi aruke geti.Sio permanent mkuu.!ila mm kila nikinywa bas jua tukio za siku hiyi zote zitajidelete..last tym nilimfata mwanangu shule nikaamua kunywa ..nilirudi hom nashangaa asbh kuna mtura na juic za kutengeneza aise ilibdi nimuask dogo..akasema si tumenunua jana?? Khaaa..mm wakununua mtura?[emoji2960][emoji2960]..nilikua na hela kwa simu ilibidi niangalie twice..maana hukawii kudaiwa 12000 ukahamisha 120000/=..sitak tena
Asante boss kubwa😋..naona unajipooz koo huku ukiingiza madiniPigeni vyombo hasa kvant,hata Mimi tajiri naipenda sana kvant. Cc Wangari Maathai hii ni home saivi.
View attachment 1799437
Asante boss kubwa[emoji39]..naona unajipooz koo huku ukiingiza madini
Usitutishee mkuu.hapa wanywaji na walevi wanafarijiana......kunywa kupita kiasi ni danger....zingatia hili...
hapa wanywaji na walevi wanafarijiana......kunywa kupita kiasi ni danger....zingatia hili...
Piga vyombo Wangari Maathai ukiishiwa unajua namna ya kunipata..Pigeni vyombo hasa kvant,hata Mimi tajiri naipenda sana kvant. Cc Wangari Maathai hii ni home saivi.
View attachment 1799437
Usitutishee mkuu.
Hapana sikuwa nae. Tulikuwa group la ndugu Kama 50 hivi😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣 noma..hukua na mumeo? Mm ndo sijawah tapika hata nimix aina ngapi no sitapiki kbs..dah nyama zikatoka!dah🤣🤣! I bet ni tabora🙃
Hahahaa hii kali ya kufungia mwezi aise hahhahahahaaKuna rafiki yangu alikunywa k-vant ile siku ya Eid akiwa na manzi yake.Usiku wakaelekea home kufika geti limefungwa.Ili kuepusha usumbufu wa kugongea watu wamelala ikabidi uruke geti.
Cha ajabu baada ya kuruka geti ili amfungulia manzi yake yeye mojamoja kapitiliza ndani na kuuchapa usingizi huku demu yupo nje anampigia simu jamaa bila kupokelewa.
Piga tu mchumba maisha ndo haya haya! Usisahau kunioa😎Nakumiss mchumba,ngoja nami nijongee maeneo nikapige Kvantino kwa niaba yako[emoji7]
Mi mpk leo baba na mama wanaguess tu kama nakunywa .kuna wambea walishawaelza kuwa siku hiz nakunywa( ila waliwahi niuliza nikachomoa ..😃😃)...hahaha ss tulikutana msiba wa babu hahaa mama ananiona muda wote nna chupa ya maji..ila anamwambia mamdg mbona kulwa amechangamka namna hiyo? Mamdg anamjibu anacelebrate maisha ya babu yake....hhahaaa misiba ya wasukuma wanaitaga kwaya esp AIC..Basi nilicheza sebene la Ia AIC utadhan na mm mwanakwaya had saa11 alfjir! Kitu cha kvant hicho..!🙌🙌🙌Hapana sikuwa nae. Tulikuwa group la ndugu Kama 50 hivi😀
😋😋😋..alafu sijakuona siku ming sana almost 3yrs..hakuna raha kama upewe hela na mwanaume jamani..nasema hakuna raha kama hiyo..tunajihisi kuwa safe balaa😀😀! Mm leo wala kesho sitak hizo kwanza...! Nataka had june nijiipue kunguza jotoridi😀!Piga vyombo Wangari Maathai ukiishiwa unajua namna ya kunipata..
Duh kumbe wewe msukuma,nmeoa kwenu usukumani..maeneo ya ISAKA.Mi mpk leo baba na mama wanaguess tu kama nakunywa .kuna wambea walishawaelza kuwa siku hiz nakunywa( ila waliwahi niuliza nikachomoa ..😃😃)...hahaha ss tulikutana msiba wa babu hahaa mama ananiona muda wote nna chupa ya maji..ila anamwambia mamdg mbona kulwa amechangamka namna hiyo? Mamdg anamjibu anacelebrate maisha ya babu yake....hhahaaa misiba ya wasukuma wanaitaga kwaya esp AIC..Basi nilicheza sebene la Ia AIC utadhan na mm mwanakwaya had saa11 alfjir! Kitu cha kvant hicho..!🙌🙌🙌