TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

ohooooooh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] hii mambo ndo haifai hivi utashtaki wapi?na umefanywa nini na nani ukiwa wapi? hebu tuone ushahidi!!
Halafu watu waje kukupa pole hospitali umelazwa wakuulize unaendeleaje, utawajibuje?
 
Valuu ndo mpango nyagi inauwa macho na ina hangover
 
Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.

Kuna kitu gani au kufanya ushindani.

hakuna haja ya kuiangalia kama unapenda pombe kunywe ufe
 
mkuu usichukulie personal nimetoa tu opinion na haihusiani na nani kalipa bills na hajalipa ukishafikia state ya kutojitambua anything can happen to you
mimi binafsi situmii kilevi chochote nimekusanua tu drink responsibly usi cherish hiyo tabia ya kutojielewa
hutumiii kilevi ndo maana tuna pishana .. kawaida ukilewa unaweza ondoka safii mapaka home ila asubuhiii unakuwa umesahau ulifikaje ndo maana mtu akisema hajuii alifikaje sio kwamba ndo kalewa kupindukia, ndo maana watu wameweka maoni yaoo kwenye K-VANT kuwa inashida kidogo na siku hiyoo sio miimi tu hata jamaa walivyo ondoka waliagana vizuriii ila kesho yake tumekutana kila mtu hakumbuki kasoro mmoja tu.

na sio kwana sijielewii hapana nafika home nakula vizurii naweka mazingira safe ila niki laza kichwa nikiamkaaa asubuhiii na kuwa nimesahau vitu baadhiii au vyote kabisa na hiii imeanza mwaka huu tu kipindi cha nyuma kulikuwa hamna shida, nikahisiii tatizo ni mimi tu kumbe kuna wengine wengi inawatokea wakiwa wana kunywa K-VANT
 
Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.

Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Vinywaji vingi wanatengeneza bila kufuata tbs standards, wengi wanaathirika sana.
 
hutumiii kilevi ndo maana tuna pishana .. kawaida ukilewa unaweza ondoka safii mapaka home ila asubuhiii unakuwa umesahau ulifikaje ndo maana mtu akisema hajuii alifikaje sio kwamba ndo kalewa kupindukia, ndo maana watu wameweka maoni yaoo kwenye K-VANT kuwa inashida kidogo na siku hiyoo sio miimi tu hata jamaa walivyo ondoka waliagana vizuriii ila kesho yake tumekutana kila mtu hakumbuki kasoro mmoja tu.

na sio kwana sijielewii hapana nafika home nakula vizurii naweka mazingira safe ila niki laza kichwa nikiamkaaa asubuhiii na kuwa nimesahau vitu baadhiii au vyote kabisa na hiii imeanza mwaka huu tu kipindi cha nyuma kulikuwa hamna shida, nikahisiii tatizo ni mimi tu kumbe kuna wengine wengi inawatokea wakiwa wana kunywa K-VANT
Basi usinywe tena

Kingsmann
 
Hivi kuna mijitu inaona(ga) nyuzi za kucomment zimeisha sijui? Kichwa cha uzi " Tbs iangalieni K- vanga' wewe hunywi, ooh sio mlevi,, asa umefata nn humu? Na umejuaje K- Vanga ni pombe? Sijaquote tu muhusika kupunguza mikwaruzano humu' ''##sie walevi hatuna makuu na mtu
 
week bila masanga kwangu ni kama nanyimwa uhuru wa maoni huwa naweka stock yangu ya red rose beer(16) nikiwasha 3 nakuwa mbele sana
huko mwanzo nilikuwa mpenzi wa konyagi sana

sasa nikarudi home likizo yangu ndo naona k vant kwa mara ya kwanza nikamwambia bwana mdogo tuishi humo nipate wasaa wa kuisikia ukali wake maana nimekuwa naona vijana wanapeta nayo sana na boda boda
tuko watu 4 chupa ya 1,ya pili nikaanza kuona kwa shida sana😀😀 pombe gani unakunywa unatoa machozi tu bwana

Ile imeisha dogo akanirudisha ghetto niko bwax sijawahi kabisa home nimerudisha chenji nyingi na bomba la maji nimevunja nikijidai kunawa kipara changu. asubuhi nauliza nimekuja vp hapa nyumbani
na huo ndo ulikuwa mwisho wa k vant maana kupoteza memory hiyo me huwa inanikata sana🤣🤣
 
Kunae mwana akinywa hiki kinywaji badala ya kufurahi yeye anaanza kulia akilaumu kila mtu na kwao eti hapendwi
mnaanza kutuliza mtu mzima kama mjane
 
Kvanga ilikuwa poa sana naona wameifeki sana nimerudi zangu kwa Mjaluo saafi Ila nae naona juzi wamekamata fekero kule Arusha, sijui wanataka tunywe nini?
 
Kvanga ilikuwa poa sana naona wameifeki sana nimerudi zangu kwa Mjaluo saafi Ila nae naona juzi wamekamata fekero kule Arusha, sijui wanataka tunywe nini?
Ya chuga ilikua ni nyagi Ile.
 
Back
Top Bottom