Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hahahaha ufutioooKuna jamaa anaiita ufutio..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ufutioooKuna jamaa anaiita ufutio..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilijua ni mimi peke yangu Kumbe ni wadau wengi.
Juzi nilipiga nikarudi hom fresh, nikapiga story na mke mpaka usiku mnene,kuamka asubuhi mke wangu ananiambia twende basi ulikosema jana, nikabaki nashangaa tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 noma..hukua na mumeo? Mm ndo sijawah tapika hata nimix aina ngapi no sitapiki kbs..dah nyama zikatoka!dah🤣🤣! I bet ni tabora🙃Nilienda bush msibani kukawa hakuna wine wala beer tulizozizoea mjini.
Huko ni safari, balimi na Kvant...nikasema bora ninywe Kvant.
Haikupita masaa mawili nililewa vibaya nikapandishwa kwenye gari kupelekwa home...ile nashuka nikatapika nyama yote niliyoila.
Cha kushangaza aliyenipeleka home hadi leo simkumbuki. Kila nikiwauliza watu nani alinipeleka wanacheka. Nachojua ni ndugu yangu mmoja wa kike
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌Me nikinywaga K-vant najitahidi sana nisishike simu yangu. Huwa najikuta nimecomment vitu vya ajabu sana kwenye magroup. Pia na outgoing call ambazo sijui niliongea nini na muhusika. Duh!
Acheni uwongo, hao waliopoteza kumbukumbu wana uwendawazimu tu wa ukoo, mimi huu ni mwaka wa 3 nakunywa K - Vant na sina tatizo lolote. Naamka asubuhi niko freshi kabisa.Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
TBS na TFD wamelala sana! Kama vipi wabinafsishe hizo idara kwa JWTZ nahakika wanauwezo wakudhiti haya masumu tunalishwa usiku na mchana! Biashara nzuri ni biashara salama na yenye bidhaa salama!Yes kuna dettol hazina ile smell kbs ya dettol
Yule mzee alikuwa anapiga vyombo?Kuna watu ni loyal kinoma na brand walizotoka nazo from the Scratch mfano The late Nche Lord Lofa alikuwa anapiga Nyagi pamoja na tittle ya Urais
Boss...! Naomba kuwa chawa wakoYule mzee alikuwa anapiga vyombo?
Hahaha,we uliamua kunipotezea mkuu.ukanifungia na PM ukasahau tumetoka mbali.nilikukosea nini mkuu? 😁Boss...! Naomba kuwa chawa wako
HIYO IPO ni hivi, kutokana na uzoefu wa matingashi hawa watu itakua wameacha kutengenezea raw materials yao ya kwanza kutoka miwa hadi katani itakua. na wamepoteza customer base ya kutosha watu wamerudi kwenye nyagi yao kama kawa wapambane na gongoNilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilijua ni mimi peke yangu Kumbe ni wadau wengi.
Juzi nilipiga nikarudi hom fresh, nikapiga story na mke mpaka usiku mnene,kuamka asubuhi mke wangu ananiambia twende basi ulikosema jana, nikabaki nashangaa tu.
Nitafutee madamDuh!
Nimetoka Geita juzi mwaya.
Me namix na castle lite.
Basi nikinywa kvant mzinga mkubwa na bia zangu 3...naona kama bar nzima naimiliki mimi.
Yaani hapo ni full handasi....lazima niondoke na jinsia ingine.
Ww nilikuombaga kazi kipindi fulani hv...nilikua napitia majanga janga tu ukaona nakuzengua😀😀! Sijafunga pm bwana...ww nilishachat na ww pm so yako inakuja moja kwa moja!Hahaha,we uliamua kunipotezea mkuu.ukanifungia na PM ukasahau tumetoka mbali.nilikukosea nini mkuu? 😁
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna bro alikula K vanga, tumemrudisha kwa mke wake akaanza mtongoza asee'
Hapo uko mitaa yako ya chillerz au the foxKazi iendelee
Acheni uwongo, hao waliopoteza kumbukumbu wana uwendawazimu tu wa ukoo, mimi huu ni mwaka wa 3 nakunywa K - Vant na sina tatizo lolote. Naamka asubuhi niko freshi kabisa.
K-VANT mak.u vant [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afu kwanini ukinywa lazima uwaze kwenda kufanya ngono.
Sijui ina nini....japo ni nzuri na inachangamsha sana