Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani siku hizi kila kitu feki!Kazi iendelee
[emoji23][emoji23][emoji23] watu mnavisa[emoji23][emoji23][emoji23] kuna jamaa yangu alipiga hii kitu akavua viatu kuingia toilet ya bar[emoji119]
Hapana mkuu, ukichunguza vizuri utabaini kati ya watu 10 basi 7 wanalalamika tofauti tofauti kulingana kilichotokea kwa muhusika.Mnakunywa Vant wapi tandika au buza? jitahidi kununua katika bar au duka linaloeleweka, hio kitu haina shida yyte, mi nagonga nzima na ninaamka fresh kbs, acheni kuharibu brand za watu.
Mi walevi mnanifurahishaga mnavyolalamika lakini pombe hamuachi.. kama mmelogwa vile[emoji3]
Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Ile ilikuwa lazima ulewe.. ..Kiroba original tulikuwa tunaita "JOGOOHahha...mm silewi..labda nimix...! Ila asbh sikumbuki kitu
Kunywa Crown100 vodka hutajutia hela yako.Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Nimshatuma na ya kutolea🤓🤓🤓Yaani nitoke Dodoma nije mpaka Moro kwa Kvant tu.
Hebu nitumie kwenye simu hio pesa, afu nitakupigia simu ili ujihakikishie kuwa nimenunua mpwa.
mkuu sio wewe tu tuko wengi unajikuta una mzuka wa kuonge na kila mtuMe nikinywaga K-vant najitahidi sana nisishike simu yangu. Huwa najikuta nimecomment vitu vya ajabu sana kwenye magroup. Pia na outgoing call ambazo sijui niliongea nini na muhusika. Duh!
Kunywa tuNilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.