TBT: Tundu Lissu aelezea Meseji za Ben Saanane za vitisho

🐼

Unadhani sms haiwezi Kutoka Chamani hapo hapo Kwa Mawakala?

Nauliza tu kupitia mafunzo ya yale Makaratasi ya Yeriko
Sms inaweza kutoka popote pale ila ni ya nani ndiyo vyombo vya ulinzi na usama inatakiwa ichunguze isipochunguza ujue wanajua imetoka wapi kwahiyo na wewe upaswi kuuliza kwa sababu inajulikana
 
Sisi tusiojua lolote tulitegemea uchunguzi uanzie hapo kwenye hiyo msg kuhusu nani mmiliki wa hiyo namba ya simu, anafanya kazi gani, walikosana nini, na wala sio kuongeza maswali kama inaweza au haiwezi kutoka kwenye chama Chao.
We unazani mtu anaye wenza kuandika message kama hiyo unaweza ukamkamata, huyo sio Chaula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…