Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #21
Pa1 ππ2021 mama alinipigia simu nikiwa nyumbani
haikua issue kwasababu wote tulifaulu kulikua na div 3 moja tu, huyo ndo alifeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pa1 ππ2021 mama alinipigia simu nikiwa nyumbani
haikua issue kwasababu wote tulifaulu kulikua na div 3 moja tu, huyo ndo alifeli
1994 nilikuwa mgonjwa kwelikweli, nipo nimelazwa kabisa nakula zangu sindano. ilikuwa ngumu sana enzi hizo kupata matokeo, hadi yabandikwe shuleni au kama upo mbali na shule yako,ilikuwa ni mpaka ubahatike kupata kitabu cha matokeo ilikuwa azania nashukuru nilitusua nikaenda tambaza.2008 nilikuwa mgonjwa sana sijiwezi
Azaboys kumbe tupo wengi ππ1994 nilikuwa mgonjwa kwelikweli, nipo nimelazwa kabisa nakula zangu sindano. ilikuwa ngumu sana enzi hizo kupata matokeo
hadi yabandikwe shuleni au kama upo mbali na shule yako,ilikuwa ni mpaka ubahatike kupata kitabu cha matokeo
ilikuwa azania
nashukuru nilitusua nikaenda tambaza
Hongera sana1994 nilikuwa mgonjwa kwelikweli, nipo nimelazwa kabisa nakula zangu sindano. ilikuwa ngumu sana enzi hizo kupata matokeo
hadi yabandikwe shuleni au kama upo mbali na shule yako,ilikuwa ni mpaka ubahatike kupata kitabu cha matokeo
ilikuwa azania
nashukuru nilitusua nikaenda tambaza
Huu mwaka raia walivuruga. Mpaka mkasahishiwa upya πHii ilikuwa 2012
ππ nikikukuta unabishana na wazee wa MMU nakuchapa2021
π€£ππ nikikukuta unabishana na wazee wa MMU nakuchapa
DuhNilikuwa Morogoro.. Mzinga corporation..nimechil hangani kwa watu naangalia Merlin.
Sis kaja kunambia mshua anakutafuta, enzi hizo pamoja na kumaliza ila walinikazia kunipa simu.
nimekula chumvi wewe, nimeona mengiππ nikikukuta unabishana na wazee wa MMU nakuchapa
Ni hatari sana. Sina uhakika kama kuna mtu alipata alichotegemea.Huu mwaka raia walivuruga. Mpaka mkasahishiwa upya π
Nlikua nyumbani ilikua mida ya jioni nikapigiwa simu na mama yangu mdogo matokeo yametoka aiseee tumbo lilivuruga sababu ya mchecheto hapohapo nikaenda kuendesha Baadae nikaenda internet cafeMimi ilikuwa mwaka 20__.
Nilikuwa zangu nyumbani nimetulia naperuzi tu.
Ila nilifurahi sana
Yako yalikukutia wapi, na ilikuwaje?
πNlikua nyumbani ilikua mida ya jioni nikapigiwa simu na mama yangu mdogo matokeo yametoka aiseee tumbo lilivuruga sababu ya mchecheto hapohapo nikaenda kuendesha Baadae nikaenda internet cafe
ππNilikuwa home, Wala sikuwa na presha,maana nilishagawa namba yakitoka waniangalie,
NB;kuna ka kauli haka hapa ka kujifariji,(KUFELI MTIHANI SI KUFELI MAISHA.)
Kuna jamaa nilisoma o level alikua mhindi, alipata div 4.. hakuendelea na shule akapewa mtaji akafungua duka lake mjini.... Nikiwa advance likizo nikawa naenda dukani kwake tunapiga story jamaa namuonea huruma naona kama maisha kafeli sana yani... Hapo najiona mjanja kukariri physics, ma organic chemistry huko na calculus inapanda najiona maisha nimeyapatiaNilikuwa home, Wala sikuwa na presha,maana nilishagawa namba yakitoka waniangalie,
NB;kuna ka kauli haka hapa ka kujifariji,(KUFELI MTIHANI SI KUFELI MAISHA.)
Muftiiiiii πππππ
Toa ushuhuda πΉπΉMuftiiiiii πππππ
Aiseeee 2021 na mara hii umefika chuo kikuu baba anguu??2021 mama alinipigia simu nikiwa nyumbani
haikua issue kwasababu wote tulifaulu kulikua na div 3 moja tu, huyo ndo alifeli