EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 3,781
- 12,091
2004 nilikuwa home nimechill tu nilijua napata channel O na kweli ikawa.
2005 nilikuwa Mwanza bi mdashi akaniambia umefeli tena.
2006 Kigereshi - Mwanza nimetoka mazoezi .Mjomba akaniambia labda ujaribu kitu kingine,umefeli.
2007 nilipata C tatu.Ilinikuta nafanya kazi KACU chama cha ushirika Kahama.Nikaacha na kazi muda huo huo.Kilichobaki ni historia.
2005 nilikuwa Mwanza bi mdashi akaniambia umefeli tena.
2006 Kigereshi - Mwanza nimetoka mazoezi .Mjomba akaniambia labda ujaribu kitu kingine,umefeli.
2007 nilipata C tatu.Ilinikuta nafanya kazi KACU chama cha ushirika Kahama.Nikaacha na kazi muda huo huo.Kilichobaki ni historia.