BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Nilikuwa tabora kwenye kochi la shemejii, nikalipuka kwa furaha ya ajabu.
Enzi hizo namiliki ITEL KITOCHI, basi nikapigiwa simu nikaambiwa nimepata DIVISHENI TWO. Niligaragaraa nikachana shatii huku watu wamenibeba juu.
Watu walikuwa wananisifia na kuniita GENIUS, maana kwenye shule yetu tulifaulu 10 tu kati ya 200.
Nilivimba komwe, bichwa likawa kubwa nikawa kama mfalme wa nyumba, FATHER HOUSEEE.
Wakati huo waliopata MADIVISHENI FOO wananionea gere balaaa.... nikawaambia wakafungue kiwanda cha CHEREHANI.
Depal
Nyani Ngabu
Enzi hizo namiliki ITEL KITOCHI, basi nikapigiwa simu nikaambiwa nimepata DIVISHENI TWO. Niligaragaraa nikachana shatii huku watu wamenibeba juu.
Watu walikuwa wananisifia na kuniita GENIUS, maana kwenye shule yetu tulifaulu 10 tu kati ya 200.
Nilivimba komwe, bichwa likawa kubwa nikawa kama mfalme wa nyumba, FATHER HOUSEEE.
Wakati huo waliopata MADIVISHENI FOO wananionea gere balaaa.... nikawaambia wakafungue kiwanda cha CHEREHANI.
Depal
Nyani Ngabu