BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
sijui kama ni chuo kikuu nipo diplomaAiseeee 2021 na mara hii umefika chuo kikuu baba anguu??
π€£Aiseeee 2021 na mara hii umefika chuo kikuu baba anguu??
Kochi la nani π€£π€£Nilikuwa tabora kwenye kochi la shemejii, nikalipuka kwa furaha ya ajabu.
Watu walikuwa wananisifia na kuniita GENIUS, maana kwenye shule yetu tulifaulu 10 tu kati ya 200.
Nilivimba komwe, bichwa likawa kubwa nikawa kama mfalme wa nyumba, FATHER HOUSEEE.
Wakati huo waliopata MADIVISHENI FOO wananionea gere balaaa.... nikawaambie wakafungue kiwanda cha CHEREHANI.
Anhaa, nimekupata vema baba angu.sijui kama ni chuo kikuu nipo diploma
ShemeGi.Kochi la nani π€£π€£
Ulipata DIVISHENI FOO?Niliibiwa matokeo
Niliibiwa matokeoUlipata DIVISHENI FOO?
MUNGU NI MWEMA WAKATI WOTEEEEEMimi ilikuwa mwaka 20__.
Nilikuwa zangu nyumbani nimetulia naperuzi tu.
Ila nilifurahi sana
Yako yalikukutia wapi, na ilikuwaje?
Nilikuwa kijijini nachunga ng'ombe, niliporudi jioni nikapokelewa na Pongezi kuwa nina Div I ya kuchechemea, nilifurahi sana maana masomo niliyoyapenda nilifaulu yote.Mimi ilikuwa mwaka 20__.
Nilikuwa zangu nyumbani nimetulia naperuzi tu.
Ila nilifurahi sana
Yako yalikukutia wapi, na ilikuwaje?
ππNilikuwa kijijini nachunga ng'ombe, nikiporudi jioni nikapokelewa na Pongezi kuwa nina Div I ya kuchechemea, nilifurahi sana maana masomo niliyoyapenda nilifaulu yote.
Kingine, nilikuwa kibonde wa Kiswahili nikakuta nina karai langu safi tu jambo ambalo nilitegemea kupata F na kuhofia kupigwa penati sababu kuna mwanafunzi aliwahi kupigwa penati kwa kupata F ya Kiswahili kwenye shule yetu.
ππMUNGU NI MWEMA WAKATI WOTEEEEE
Ningefail shule ninge umia from local government school kijijini sanaa na nilikuaga mnyonge siongei mkimya sanaaa ila ndani yangu na ndugu marafiki hawakuamini kama ntatoboa...
Ndani yangu nilikua kama THE UNDERTAKER au THE BEAST (BLOCK LIESNER) wale wa WWE nilikua napiga msuli TEMBO ila Kwa kua sikuaga mtu wa matambo nikawa UNDERRATED
Thanks salva my classmate form 1
ulijenga msingi bora wa kujitegemea formula zetu ilikua ni kusoma somo husika Kila kitu maana sisi hatukupenda kupata shida au tabu kwenye EXAMINATION ROOM na ndio maana may mosi ulichukua ufanyakazi bora..
Matokeo yangu yaliwanyamazisha ndugu , jamaa na marafiki na wote walio ni underrate
Maana Kuna walio peleka watoto wao shule za mapesa Mingi ila nikawakalisha from local government school kijijini sanaa ....
Kabatini Nina degree 3 nikizimiss naziangaliaππ
Na sio za kuombea ajira maana wengine tulisha tokaga huko
π€£π€£ππHhahahhaha kipindi hicho wazazi wang walikuwa tayari wameshaniandalia zana za kilimo wakijuwa kuwa siwez kufaulu kamwe hvyo nipelekwe shambani Kisha baadae nitafutiwe mke nioe
Ajabu zilivyotoka niliwaduwaza kijij kizima kwan mm pekee ndio nimefaulu kwa kiwango kikubwa kijij pale hkn mpk leo aliyefunja record hyo mkp sasa nashikilia mm
π€£π€£πShemeGi.
Huko kufanya kazi tofauti na ulichosomea imekuwa kawaida sana siku hizi.Mi nikisema matokeo yangu hapa afu nikasema yalivyotoka nikalia asimilia 99 hapa hawawezi kuamini, yaani nililia kisa watu wawili walinipita... Demu wangu mmoja na mshkaji wangu nilikua nasoma nae...
Jamaa alijitapa sana maana nilikua nampigaga pindi aisee necta akaninyoosha.... Hapo acsee tulienda nae shule Moja Nilimnyoosha....
Ila sasa tunafanya kazi ambazo hata hazihusiani na tulichosomea chuo, hii ndo bongo bana....unakua kipanga darasani Kuna majamaa ulikua unayaona majinga kwenye maisha yame make kinoma
2012 ilikuwa ya moto sana.Hii ilikuwa 2012, tupo mazoezini kama kawa na washikaji ile tunamsikiliza mwalimu kabla ya kuondoka kuna njemba ikaropoka matokeo yametoka. Aisee kuna jamaa alikuwa anajiamini kupitiliza tukakimbia internet cafe karibu na pale uwanjani.
Tulikuwa kundi la watu kama nane hivi, jamaa akawahi kwenye kompyuta moja ilikuwa na mdada mrembo sana chap akamtajia namba ya shule na namba yake, kucheki ngoma ni IV points 27 jamaa alizimia. Zoezi la sisi kuangalia lilishia pale na kuanza kutoa huduma ya kwanza.