TBT: Ulipokea matokeo yako ya Form Four ukiwa wapi, na ilikuwaje?

Kiufupi ulipata MAYAI πŸ™ˆ
 
Nilikua kijijini kwa bibi,
Matokeo yetu yalitangazwa jioni, sasa usiku km SAA 2 ndo mama akapiga kwa bibi, akapokea akamuambia mpe cm coca,

Ile kuchukua mie, nasikia mama analia kwa furaha "mwanangu umeniheshimisha, mwanangu umeniheshimisha hongera sana". Nilichachawa balaa nkatoa cm kwenye chaji, kuwasha hv text zina miminika tyuuh za watu kunipa in4 za matokeo, ila mie yangu yakoje hawajasema.

Nahaha kumtafuta maadam ili anieleze, mara vuup kaka anapiga aseeh kupokea tyuuh kaka akaanza kunitajia tokeo langu, nliruka kwa furahaa, na machozi yalianza kutoka, nkalia kwa furaha hapo wee.

Baadae baba akanipigia kunipa hongera, na kuniambia nijiandae kesho yake nirudi home town.
 
Huu mwaka raia walivuruga. Mpaka mkasahishiwa upya [emoji16]
Huu mwaka nyoko sana....... mpka nilisahau namba yangu kwa muda. Nilikuja kumbuka siku 3 baadae
 
nilikua Zenji, matokeo yalipotoka nikakamata mtoto Khairat kwa scores nzuri
too bad sikupata unganisha nae vikojoleo
 
Huu mwaka raia walivuruga. Mpaka mkasahishiwa upya 😁
2010
2011
2012

Hio miaka waliingizwa walimu wapya kusahisha mitihani hao ndio walikua wanaumiza vijana kwa kuwapa matokeo mabaya sana, walimu waliokua wanasahisha zamani (wazee) wote waliachwa wakampeleka vijana wapya wakatoe marks kilichofuata vilio mitaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…