TBT: Unakumbuka nini kuhusu mabomu ya Mbagala (2009) na Gongo la Mboto (2011)?

πŸ™„πŸ™„ Kuna walevi wa MI walikuja kuropoka kwamba watu wa orodha C walitak kuongezewa mafungu kwenye tradeeeee. 🀸 Haya ya Gongo la mboto
 
Break ya kwanza nliipiga mzinga nkalala uwanjani pale kikaita kingine nikaenda kongowe mpaka kibada beach
 
Duh noma sana
 
Lakini Mwinyi alishiwahi kusema baada ya mabomu ya gomzi aliomba kujiudhuruπŸ€”.


PITIA UZI WA 'Rais Mwinyi: Baada ya mabomu kulipuka Gongo la Mboto niliwasilisha ujumbe wa kujiuzulu, JK akakataa kujiuzulu kwangu'
 
Nilikuwa nakula mbususu kusikia mlipuko nilitoka lodge uchi nisijue naenda wapiπŸ˜†πŸ˜†πŸ¦
 
Kila kitu kina muda wake wa kuisha matumizi na kina maelezo kihifadhiwe katika mazingira Gani.Mlipuko wa hayo mabomu ilikuwa ni uzembe wa hali juu sana.
Naunga mkono hoja, japo wapo wanaodai kuwa Kikwete aliambiwa mapema atoe hela kwaajili ya kufanyia maintenance ayo mabomo akagoma​
 
Aisee, kuna waliobeba mpaka paka wakifikiri ni watoto. Aisee itoshe kusema Amani ni muhimu sana.​
 
Naunga mkono hoja, japo wapo wanaodai kuwa Kikwete aliambiwa mapema atoe hela kwaajili ya kufanyia maintenance ayo mabomo akagoma​
Kikwete hakuwa mhusika wa armoury au ammunition depot yoyote jeshini. Jeshi lenyewe ndio lilifanya uzembe, suala la kuharibu silaha chakavu nalo limsubiri Rais?
Sasa kazi ya maofisa wa jeshi ni nini au unamaanisha hawakupewa bajeti.
 
Kikwete hakuwa mhusika wa armoury au ammunition depot yoyote jeshini. Jeshi lenyewe ndio lilifanya uzembe, suala la kuharibu silaha chakavu nalo limsubiri Rais?
Sasa kazi ya maofisa wa jeshi ni nini au unamaanisha hawakupewa bajeti.
Yes, namaanisha hawakupewa mpunga wa kufanyia maintenance ayo mabomu
 
Aisee, noma sanaa duh
 
Ule wa Gongo la mboto niliona msafara mkubwa wa watu kama ule wa wakimbizi wa Kongo/Rwanda kipindi kile wakipita mtaani kwetu. Wengine wamepagawa hawajui wanaelekea wapi!

Hapo ndipo nilipoona athari za vita.
 
Kama inafaa, share mkasa mkuu.
Mm si mwandishi nzuri lkn ningetiririka vilivyo. Kwa kifupi nilikuwa naishi Goms kipindi hicho, na nilipotelewa na binti yangu wa miaka 7 akapatikana Viwanja vya Sabasaba baada ya siku 3. Namshukuru muumba alikuwa mzima kitu ambacho hatukukitegemea kabisaa!
 
Duh, Mungu mkubwa mkuu. Poleni sana aisee, binti alikua akiishi wapi kwa siku hizo tatu?​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…