Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
- #81
Tupe ka story kidogo?Daaah!niliona kifo ni ya sekunde moja tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe ka story kidogo?Daaah!niliona kifo ni ya sekunde moja tu!
Enzi zile ndo Kwanza najitafuta kumpata Mwenza,sas pisi iko Gheto na tuko katika hatua za mwishoni kabisa,sikujua nin kilitokea,ila nilijikuta Hospitali.Tupe ka story kidogo?
Aisee, mlipigwa bomu?Enzi zipe ndo Kwanza najitafuta kumpata Mwenza,sas pisi iko Gheti na tuko katika hatua za mwishoni kabisa,sikujua nin kilitokea,ila nilijikuta Hospitali.
Hapana ni mshituko tu!Aisee, mlipigwa bomu?
WeweYa mbagala nilikua Tosa boys, form 6,tuko domitory tunasikiliza radio hata Dar siijui na sijawah kufika
Ya Goms nilikua mwaka wa kwanza Ifm, niko hostel kigamboni majira ya saa 2 usiku sitakuja kusahau yanaitika kama yako kilometa chache yan wave unaisikia kabisa inavyokata upepo. Nikajiuliza sijui walio karibu inakuaje kama kigambon huku fery mpaka nyumba zinatikisika vivuko vikasimama kufanya kazi.
Wengine tulikua karibu nayo hapo Pugu boys, na shule ilikuwa imefunga ijumaa , watu tukawa tumebaki, nafikiri yalitokea siku ya alhamis kama sikosei.Ya mbagala nilikua Tosa boys, form 6,tuko domitory tunasikiliza radio hata Dar siijui na sijawah kufika
Ya Goms nilikua mwaka wa kwanza Ifm, niko hostel kigamboni majira ya saa 2 usiku sitakuja kusahau yanaitika kama yako kilometa chache yan wave unaisikia kabisa inavyokata upepo. Nikajiuliza sijui walio karibu inakuaje kama kigambon huku fery mpaka nyumba zinatikisika vivuko vikasimama kufanya kazi.
Kwenye haya maisha kuna mengi, lakini muda mwengine tunaogopa kuyaweka wazi kwa kuhofia kufichua Identity zetu. Msome huyu mwanamama Violet Constance Jessop (2 October 1887 – 5 May 1971) ambaye alinusurika kuzama katika meli zote mbili Titanic 1912 na Britannic 1916. Kuna jamaa mwengine alinusurika kufariki zaidi ya mara mbili kwa kupigwa na radi, cha kushangaza hadi alipokufa kaburi lake pia lilipigwa na radi.😂😂 yani ww matukio yote mawili ulikuwemo, unatakiwa kuwa steringi wa hii movie aisee😂😂
Soma mstari wa chiniUkahisi Diwali gani ipo Gongolamboto, hukujiuliza Wahindi gani waishi uko.
Uko right, lakini wa kwanza haukuwa mkubwa sana.Mlipo wa mwanzo ulikuwa mwaka 2003 au 2004 kama sikosei hapo Gongo la Mboto…Inaonekana tukio hili wengi hawalikumbuki sana.
Awajibishwe kwa sababu ipi?Kuna bidaboda alijikuta yupo mbezi ya kimara wakati alikuwa gomz,amefikajefikaje gakuna anayejua.yote juu ya yote,kama Hussein Mwinyi aingekuwa mtoto wa mwinyi ilitosha kumuwajibisha
Ali Hassan Mwinyi hakuwahi kuwa Waziri wa Ulinzi, na wala kipindi chake cha Uwaziri wa Mambo ya Ndani hapakuwahi kutokea milipuko ya Mabomu popote katika ardhi ya Tanzania. Labda ulikuwa umelewa na wewe ni mtu mzima kwa hiyo jina la Ali Hassan Mwinyi kwako liko karibu zaidi kichwani.Waziri wa Ulinzi hakuhojiwa na Polisi.
Nakumbuka pia Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa anasema," Nchi yetu safi kabisa. Siyo kama jirani zetu. Hapa hatuzalishi wakimbizi. Hapa tunapokea wakimbizi."
Kesho yake yale mabomu yakalipuka na wakimbizi wengi walikwenda Stadium.
Halafu nasikia watoto wengi walipotea.
Af,nakumbuka nilikuwa nimefunga kula chakula for two weeks non-stop .
Niko Mikocheni naisikiliza Ile milipuko inadunda kwenye moyo wangu.
Nikashukuru siko karibu kule.
Halafu ilikuwepo tafrifa kwenye garden ya Ikulu
Nilikuwa na - chat na yule Kamanda wa Jeshi anaitwa Mbowe, alikuwa Jeshini amekamatwa finances za Jeshi.
Nikamuuliza unamfahamu Freeman.
Akasema ni,sijui alisemaje,yule Freeman ni mdogo wangu au kama mtoto wangu.
Basi kesho yake asubuhi,for some reason, Kikwete akamchagua yule kuiongoza tume ya kupelekeza lile tukio.
Huoni kosa hapo?baba yake mzee ruksa aliwahi kuwa waziri wa mambo ya ndani,alijiuzulu baada ya mahabusu kufia lock up huko shinyanga,ulikuwa hujazaliwa,sembuse hili balaaAwajibishwe kwa sababu ipi?
Serikali iliweka Kambi kama Wajimbizi hapo Sababa kila aliyeokotwa popote au alikosa makazi alipelekwa hapo.Duh, Mungu mkubwa mkuu. Poleni sana aisee, binti alikua akiishi wapi kwa siku hizo tatu?
Uzuri wa yale madude yalikuwa hayalipuki..