Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #301
Zilikuwa na tuviti tumebana sana miguu, watu warefu tulipata shidaHatujaona Torino za Hood zilikuwa na madirisha madogo juu kama mabanda ya njia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zilikuwa na tuviti tumebana sana miguu, watu warefu tulipata shidaHatujaona Torino za Hood zilikuwa na madirisha madogo juu kama mabanda ya njia
Unalikumbuka hili goma?Hatujaona Torino za Hood zilikuwa na madirisha madogo juu kama mabanda ya njia
Kama twa school bus tena za kindergatenZilikuwa na tuviti tumebana sana miguu, watu warefu tulipata shida
Wewe Buji Buji picha hii umeitoa wapi? Gari la kijijini kwetu hili na kaulimbiu yake "UENDE LIPWELA"Buji Buji [emoji113][emoji2772]sikuwezi
Ulivyotoka Moshi Haukupita Tanga na Pwani ....si ndio.Mwaka 2004 nilisafiri na basi la SCANDINAVIA kutoka Mwanza-Musoma-Silali-Nairobi-Namanga-Arusha-Moshi-Dar kwa wakati mmoja usiku na mchana
Bunda Bus, Super Najimunisa.Huu uzi mzuri kweli kwa kumbukumbu. Umetukumbusha mbali mkuu, baada ya kupitia uzi kuna visa vimenivutia.
1. Kupata kiini cha kufa kwa kampuni ya Hood
2. Dereva aliyetoka Dar na kufika Mbeya saa 7, hii ni balaa.
3. Ajali iliyokula 70 dah! Bado natamani kupata mwendelezo wake, 70 kwenye bus moja ni kisanga hiki. Halafu kwanini ajali za miaka ya nyuma ziliua sana watu wengi kwa mpigo? Nakumbuka bus jingne sijui (air msae) lilipata ajali kilimanjaro likaua sana wanafunzi.
4. Simon Sirro RPC Tanga [emoji1]
5. Nami niongeze yangu nnayokumbuka ambayo sijayaona huko juu
- Air Shengena
- Kizota
- Fresh ya Shamba
- Bembea
- Royal
Ilianza Siemens mkonge ikaja Siemens dole gumba.Mimi simu niliyomnunulia Mzee wangu mara baada ya simu kutoka (ilikuwa Siamen ngapi sijui, ile nyeusi yenye kiantena) niliituma kwa Scandinavia kumpelekea mzee daah..
Umenikumbusha mbali sana,,, Kipindi nasoma O level tulikuwa tunatumiwa hela kwa njia ya Posta,,,na Kero ya hii njia ilikuwa ni Ukitumiwa hela basi Majina wanabandika Notice Board na kiasi ulichotumiwa,,, Kama unakuwa na Madeni basi lazima ushikwe Shati....Ela zamani ilikuwa inatumwa Posta kwa njia ya EMO inachukua wiki au kwa EMS inachukua siku moja akiingiza muamala asubuhi na mapema jioni au kesho yake unapigiwa simu unakwenda kuchukua mkwanja kama una simu ya mezani au unakwenda posta unakuta kikaratasi cha kuchukulia mkwanja (hii ni mpaka miaka ya 90 mpaka mwanzoni mwa 2000.
Hiyo ilikuwa kawaida sana tu, mabasi mengi Dar Arusha yalikuwa yanageuza siku hiyohiyoKwenye hii list linakosekana BUFFALO Dsm-ARU hawa jamaa walikua wanatoka Dar 12 nakufika Arusha saa 6 mchana ilikua siokulimbiza bali ni zaidi ya gari km ya magazeti.
Kuna Moja tulishuka nalo Kabuku tulikaa kwenye mashine karibu madereva wanne tunamwangalia dereva kama atatoa mguu kwenye accelerator lakini wapi ndio kamwe anakandamiza Huku alarm inawaka.View attachment 2405828
TAKRIM COACH
Hiyo masihDar Tunduma ilikua unatoka dar saa 11 afajiri mnafika tunduma saa 7 mchana unakula chakula kisha unaendelea na biasharaTawaqal
Zainabu
Masiah
M Sleeping Coach
Matema Beach
Scandinavia Express
Kiswele
Executive
Hood ltd
Safina
Embakassy
Lupelo
Sayuni