TBT ya kibabe: Mabasi na vyombo vya usafiri Tanzania

Bunda Bus, Super Najimunisa.
 
Mimi simu niliyomnunulia Mzee wangu mara baada ya simu kutoka (ilikuwa Siamen ngapi sijui, ile nyeusi yenye kiantena) niliituma kwa Scandinavia kumpelekea mzee daah..
Ilianza Siemens mkonge ikaja Siemens dole gumba.
 
Umenikumbusha mbali sana,,, Kipindi nasoma O level tulikuwa tunatumiwa hela kwa njia ya Posta,,,na Kero ya hii njia ilikuwa ni Ukitumiwa hela basi Majina wanabandika Notice Board na kiasi ulichotumiwa,,, Kama unakuwa na Madeni basi lazima ushikwe Shati....
 
Kwenye hii list linakosekana BUFFALO Dsm-ARU hawa jamaa walikua wanatoka Dar 12 nakufika Arusha saa 6 mchana ilikua siokulimbiza bali ni zaidi ya gari km ya magazeti.
 
Kwenye hii list linakosekana BUFFALO Dsm-ARU hawa jamaa walikua wanatoka Dar 12 nakufika Arusha saa 6 mchana ilikua siokulimbiza bali ni zaidi ya gari km ya magazeti.
Hiyo ilikuwa kawaida sana tu, mabasi mengi Dar Arusha yalikuwa yanageuza siku hiyohiyo
 

Safina Investment Bus service Dar Mbeya, Dar Kyela, Dar Tunduma, Mbeya Sumbawanga Long time kitambo
 
Tawaqal
Zainabu
Masiah
M Sleeping Coach
Matema Beach
Scandinavia Express
Kiswele
Executive
Hood ltd
Safina
Embakassy
Lupelo
Sayuni
Hiyo masihDar Tunduma ilikua unatoka dar saa 11 afajiri mnafika tunduma saa 7 mchana unakula chakula kisha unaendelea na biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…