Mara nyingi CHADEMA huwa wanapotosha ukweli.Chadema ni mabingwa wa kulia lia. Hata hawaeleweki kazi yao kutafuta sympathy, ndio wataweza kuongoza nchi?
Hamza analinda choo cha wanaye. Pole Sana bwana Hamza kwa kuuweka ubongo wako likizo na kuamua kutumia ule wa John mpk pale atakapokutengua.
Kumbe diamond na Harmonize ni marubani..Kwa hiyo harmonize na diamond wanavibali vya kuzunguka na chopa watakavyo
Ukisoma taarifa ya Chadema utagundua kuna shida upande wao, maana hawajasema huyo afisa wa TCAA aliwaambia nini hasa sababu ya kuzuiwa kwao.
Chadema wanatakiwa kuwa waungwana. Walianza siku ya kurudisha fomu wakadai wamefika mapema wamewekwa chumba cha kusubilia wakiwa hawajui nini kinaendelea, kumbe wakijua uhakiki wa wadhamini ulikuwa ukiendelea baada ya wao kutofuata taratibu za kuhakiki wadhamini wao wakati wakizunguka.
Fuateni taratibu na muache uhuni, nani atakabidhi nchi kwa wahuni, wazushi na wapotoshaji?
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?
Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Au huyo Lisu si anajifanya ni mwanasheria nguli? Sasa apinge hiyo sheria basi tuone.Mbona barua imeweka wazi kuwa rubani aliyekataliwa kibali ana zaidi ya 65!
Hapa hawatakuja ku comment, waluo wengi
Rubbish, hakuna sheria inayosema uhakiki ufanyike mikoani. Shria ya uchaguzi haisemi hivyousubilia wakiwa hawajui nini kinaendelea, kumbe wakijua uhakiki wa wadhamini ulikuwa ukiendelea baada ya wao kutofuata taratibu za kuhakiki wadhamini wao wakati wakizunguka.
duniani hakunaga kitu inaitwa coincidence!Kwahiyo unataka wavunje sheria ili wawajibike na mnafahamu ni juzi tu tobolisu ametoa lalamiko kuwa amepata habari kwa wasiri wake kuw anaandaliwa ajali ya ndege.
kasaidie tetemeko, unakaa kupost humu! Kila kitu kagear, tetemeko, vita, mafuriko, .. by JiweKichwa maji soma vizuri waliomba kibali cha msamaha wa kutumia rubani wa zaidi ya umri ulio wekwa kisheria na wamekataliwa kwakuwa ni kinyume cha sheria kutumia rubani mwenye umri wa zaidi ya 65 years!
Mnapaswa kuwaomba radhi Mamlaka ya anga muache kuropoka ropoka
Hata daladala ukivusha 60 huruhusiwi kuendesha gari la abiria.Mkuu helikopta sio daladala ni chombo cha angani kikianguka hakina majeruhi ni vifo tu.
Sheria inasema ni miaka 65 kushuka chini. Ni jukumu la watumiaji kutafuta mtu anayekidhi vigezo kulingana na ratiba yao.
Ukisoma taarifa ya Chadema utagundua kuna shida upande wao, maana hawajasema huyo afisa wa TCAA aliwaambia nini hasa sababu ya kuzuiwa kwao.
Chadema wanatakiwa kuwa waungwana. Walianza siku ya kurudisha fomu wakadai wamefika mapema wamewekwa chumba cha kusubilia wakiwa hawajui nini kinaendelea, kumbe wakijua uhakiki wa wadhamini ulikuwa ukiendelea baada ya wao kutofuata taratibu za kuhakiki wadhamini wao wakati wakizunguka.
Fuateni taratibu na muache uhuni, nani atakabidhi nchi kwa wahuni, wazushi na wapotoshaji?
The International Civil Aviation Authority (ICAO) sets the maximum retirement age at 65, which the FAA has adopted. However, some local civil aviation authorities have extended that age to address a shortage of pilots in their markets.
What to Know About the Mandatory Pilot Retirement Age
Wanakuja mkuu Ila watatoa matusi tu.Hapa hawatakuja ku comment, waluo wengi
Jamaa wa chadema wanataka huruma kutoka kwa jamii hawajui kwamba taasisi zinaendeshwa kwa kufuata taratibu zilizopo kimaandishi.Hata daladala ukivusha 60 huruhusiwi kuendesha gari la abiria.
Inaonekana ni swala linaloongozwa na sheria. Rubani anatakiwa asizidi miaka 65. Utatuzi ni rahisi tu. Hiyo kampuni ya State aviatian itumie rubani mwenye miaka chini ya 65 na kampeni ya mgombea uraisi iendelee.