Kama kuna kete ccm wamekosea ni hapa hata kura yangu imehama asubh hii hii sababu ya hii mambo. potelea mbali.Hakuna anayeweza kufanya lolote km wamfanya figiso kwenye internet 'let us cross our fingers and pray before God'
Umelewa eti, mtachanyikiwa sana, wizi wenu wote na mbinu zote chafu zinazidi kufichuliwa. Kumbe madaraja hamyaamini tena kama yatawasaidia kwenye uchaguzi huu, tuliwaambia nchi haiendeshwi kama vile ina wizara moja tu ya ujenziTulia wewe!
Mwambie lisu na yeye anaweza ku act kwenda kununua nyanya kariakoo tena
Wameendesha nchi km familia ama kampuniUmelewa eti, mtachanyikiwa sana, wizi wenu wote na mbinu zote chafu zinazidi kufichuliwa. Kumbe madaraja hamyaamini tena kama yatawasaidia kwenye uchaguzi huu, tuliwaambia nchi haiendeshwi kama vile ina wizara moja tu ya ujenzi
🙌🙌🙌🙌hakuna haki hapoKesi ya nyani apelekewe tumbili?