Uchaguzi 2020 TCRA, hamuwaoni TBC wanavyopiga kampeni wazi siku ya Uchaguzi?

Uchaguzi 2020 TCRA, hamuwaoni TBC wanavyopiga kampeni wazi siku ya Uchaguzi?

Kwa wote mnaoangalia TBC, wana “Mchambuzi wa Masuala ya Siasa” anamwaga sifa kemu kemu kwa Dkt. Magufuli ambaye ni mgombea Urais kupitia CCM.

Mchambuzi wao huyu anaonekana wazi kuwa amekuja kuhamasisha watu kumpigia kura Ndg. Magufuli na mbaya zaidi anamkandia Mzee Mwinyi na kueleza mazuri ya Magufuli.

Mnatuona Watanzania kuwa ni wajinga sana kiwango hiki?
Mna wasiwasi gani sasa wakati mlisema hata mkisimamisha mti watu watapigia kura mti...acheni visingizio tuliwaambia hapa siasa ni sayansi sasa mpo kwenye reality mlialia.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mie huyu mchambuzi hata angekuja nyumbani kwangu asubuhi kunihamasisha nimpigie kura Jiwe isingesaidia kitu, kura yangu kwa TL ni given. Haijalishi!.
Yaani niamke asubuhi niache usingizi nikampigie kura Tundu Lissu...I can't waste my time to that extent.
Kura yangu kwa JPM ni given,no matter what.
 
Back
Top Bottom