Bado ni upimbi wanaumia nin kama nina simu tano na zote natumia voda labda nyingine ni data nyingine miamala na nyingine kupigaMnaokomenti msilishwe maneno ya hovyo serikali ishalitolea ufafanuzi Jambo hili ni kuwa uwe na laini moja kwa mtandao mmoja.
Nyie ropokeni tu hapa kwa kumfuata mtoa mada mnaendekeza ukilaza haingii akili hata kama viongozi wetu wameishiwa utafakari huku ni sawa na kuwatukana viongozi na wengine mnashabikia kwa kitu si kweli!!!
Hili taifa lina wananchi bendera fata upepo.
Hii sera imeandikwa wapi mkuuExpect No Mercy
Tanzania ya viwonderKwa nini wanaweka ukomo huu?
Nikiamua kuwa na line moja ya internet tu, na line nyingine ya kuongea tu, hapo kuna tatizo gani?
Nikiamua kutenganisha line ya mambo ya biashara zangu na line ya mambo ya binafsi ili niweze ku reconcile mapato na matumizi kihasibu vizuri zaidi, tatizo liko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!!! Mkuu hii kali kupitiliza....Yaani kuna wakati mtu unajiuliza kwa nini wabunge hawakuwa kule Wuan wakati mlipuko wa Corona ili watu tuanze upya
na mimi najiuliza Ndugai angekuwa matibabu China wakati wa mlipuko wa Corona hivi angeruhusiwa kurudi nchini na serikaliYaani kuna wakati mtu unajiuliza kwa nini wabunge hawakuwa kule Wuan wakati mlipuko wa Corona ili watu tuanze upya
Iwe kama China huwezi kuwa na laini 2 bila sababu.
Pia tupewe namba za simu zinazodumu milele, tusiweze ibadilisha kamwe hata UFE
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini umpangie mtu hivyo?Kwani shida iko wapi nikiwa nina laini 5 za voda na nimesajili?Waache ujinga!Mnaokomenti msilishwe maneno ya hovyo serikali ishalitolea ufafanuzi Jambo hili ni kuwa uwe na laini moja kwa mtandao mmoja.
Nyie ropokeni tu hapa kwa kumfuata mtoa mada mnaendekeza ukilaza haingii akili hata kama viongozi wetu wameishiwa utafakari huku ni sawa na kuwatukana viongozi na wengine mnashabikia kwa kitu si kweli!!!
Hili taifa lina wananchi bendera fata upepo.
Sidhan kma watakuja na hiyo akili ya kimatope, hata wenzetu nchi za majuu watu wanamiliki laini zaidi ya moja na hazina madhara yoyote! Tabutupu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni kuongozwa na Viongozi washamba na malimbukeni...kumewaathiri sana wanaNchi wa Taifa hili...Mnaokomenti msilishwe maneno ya hovyo serikali ishalitolea ufafanuzi Jambo hili ni kuwa uwe na laini moja kwa mtandao mmoja.
Nyie ropokeni tu hapa kwa kumfuata mtoa mada mnaendekeza ukilaza haingii akili hata kama viongozi wetu wameishiwa utafakari huku ni sawa na kuwatukana viongozi na wengine mnashabikia kwa kitu si kweli!!!
Hili taifa lina wananchi bendera fata upepo.
June 30,2020,MKuu soma sherai hapo juu,
mwisho tarehe 20 June 2020.
Kabisa isee. Binafsi Nina line 4 za mtandao moja na zote nimesajili kwa alama za vidole.June 30,2020,
Happ lazima milioni tano tano zikusanywe kwa wingi maana watu hawana taarifa juu ya hii sheria
Hawajui kukataza line zaidi ya moja ya simu kwa mtandao mmoja ni kujipunguzia kodi wao wenyewe?Tanzania ya viwonder
Sheria iko wazi,kwa individual Ni line moja tu,labda uwe na machine Kama computer, tablet etc ndo unaruhusiwa nne maximum Kama sikosei kea ajili ya machine to machine communication,na Happ mpaka utoe maelezo,Mleta uzi mpotoshaji
Kumiliki laini mbili mtandao mmoja inawezekana isipokuwa ukihitaji kumiliki zaidi ya mbili mtandao mmoja, kuna form unatakiwa kujaza sababu ya kuhitaji kumiliki laini zaidi ya mbili.
tumia akili kidogo kuna maeneo nchini mengi tu hayana baadhi ya mitandao mtu yupo matombo kuna mtandao wa voda tu akienda kisaki kuna airtel tu utamsaidiaje mtu kama huyo?Iwe kama China huwezi kuwa na laini 2 bila sababu.
Pia tupewe namba za simu zinazodumu milele, tusiweze ibadilisha kamwe hata UFE
Sent using Jamii Forums mobile app