ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Bado ni upimbi wanaumia nin kama nina simu tano na zote natumia voda labda nyingine ni data nyingine miamala na nyingine kupigaMnaokomenti msilishwe maneno ya hovyo serikali ishalitolea ufafanuzi Jambo hili ni kuwa uwe na laini moja kwa mtandao mmoja.
Nyie ropokeni tu hapa kwa kumfuata mtoa mada mnaendekeza ukilaza haingii akili hata kama viongozi wetu wameishiwa utafakari huku ni sawa na kuwatukana viongozi na wengine mnashabikia kwa kitu si kweli!!!
Hili taifa lina wananchi bendera fata upepo.