Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,461
SK2016, Hii nchi hata mwili wako ukiwa mzima ni fursa, ukiumwa ni fursa, ukifa pia ni fursa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan utadhani tunafaidi peke yetu wakat wao pia wanafaidi zaidi kodi na kukata vifurushiTena shenzi na majibwa kweli kweli..wafunge tu wanamtisha Nani?
3G hakuna sehemu nyingi sana unawaza 5G?Suley2019,
tcra wangelipisha elfu tano kila laini serikali ingepata bil 100 katika zoezi hili, hizi pesa wangepewa ttcl wakanunua mtambo wa 5G tungepiga hatua nzuri ya maendeleo.
Hapana, tuna wasomi wengi wenye vyeti lakini kati yao walioelimika ni wachache. Just imagine, hapa kwetu Kasulu wote tulioandikishwa, ukitoa watumishi wa uma, hatujapewa hata namba za NIDA, halafu unatishia kumfungia mtu laini.AFRICA INA WASOMI WENGI WENYE ELIMU ILA WENYE AKILI WANAHESABIKA...
Aisee nimeipenda hii kanuni mkuu,Nani naichukua nadhani itanisaidia pia...👍🤓Wayafunge tu. Itakuwa poaa sanaa kwanza wanakula sana bando zangu!
Nitapumzika sana na kujikita na mambo muhimu!
Sent using Jamii Forums mobile app