Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,633
Aliwakataza kuzifungia ile mara ya kwanza JulyLakini jiwe si alisema hazitafungiwa,?wakizifungua nitajua tuna rais jitul tapeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliwakataza kuzifungia ile mara ya kwanza JulyLakini jiwe si alisema hazitafungiwa,?wakizifungua nitajua tuna rais jitul tapeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu passport hilo kwa Tz naona bado litaleta usumbufu. Fikiria wenyeji tu tunavyohangaika na wakati wanayajua mpaka makaburi ya babu zetu ila wanatusumbua, itakuwaje kwa mgeni kusiwepo na usumbufu wowote?Wageni pia wanatambuliwa na NIDA na wana ID za nida ambazo zinataja Nationality yao ni wapi ila pia kama una passport ambayo ndio International ID unaweza kusajili line nchi yoyote bila usumbufu
EeehHakuna laini ata moja itafugwa, hizo ni propaganda na vitisho pamoja na mikwara kwa raia.
Hakuna laini ata moja itafugwa, hizo ni propaganda na vitisho pamoja na mikwara kwa raia.
Rais ameshatukingia kifua sisi ambao hatutaki kusajili kwa fingerprintMbona Hawa TCRA wanakwenda kinyume na kauli hii ya Rais
Ova
View attachment 1298126
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna laini ata moja itafugwa, hizo ni propaganda na vitisho pamoja na mikwara kwa raia.
Orange, MTN, Safaricom zote zinapiga kazi Tanzania, na tayari wengi wameanza kuzitumiaNgoja nianze tumia Orange
Vipi kuhusu vocha?Orange, MTN, Safaricom zote zinapiga kazi Tanzania, na tayari wengi wameanza kuzitumia
Huu ni UONGO,...
...
Aidha, alisema hakuna mtoa huduma atakayeruhusiwa kufunga au kukatisha mawasiliano ya mtumiaji yeyote kabla ya muda uliopangwa.
...
...
exacttly umenena mkuuLengo ni kuna mtu anataka aje kuonekana ni mtetezi wa wanyonge
Hakuna laini ata moja itafugwa, hizo ni propaganda na vitisho pamoja na mikwara kwa raia.
Wame nitumia sms zimebaki siku 12 kama vile nimewauliza zimebaki siku ngapi sijuwi hawana kazi!?