Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Si na yenyewe ina finger print?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiingiza vocha inakubali?Mbona Mimi toka Jana Airtel washanifungia kupiga Simu na leo Airtel Money wameshaniblock na tarehe 31 bado
Kuna waziri naye aliliongelea. Inaonekana TCRA ni kamhimili kanakotaka kujichimbia chini zaidi ya mwenzake.hii nchi bana, raisi anasema hivi tcra nao wanasema hivi ina maana wanampinga raisi sasa wasubiri rungu kama halijawadondokea
Hata ukimuuliza mkurugenzi mkuu wa TCRA hana majibu!Hivi kwa wageni ambao sio raia na hawana kitambulisho cha taifa na wanatumia simu utaratibu wao wa kusajili kwa alama za vidole unakuwaje...?
Wageni pia wanatambuliwa na NIDA na wana ID za nida ambazo zinataja Nationality yao ni wapi ila pia kama una passport ambayo ndio International ID unaweza kusajili line nchi yoyote bila usumbufuNapenda kufahamu tu, wageni toka nje hawawezi kuwa na line za simu tena?
Mkuu,wewe hata wasipokufungia,me nakushauri tupa iyo line 2020 uanze maisha mapyaaa!! Waache na madeni yao.Kwenye line yangu ya vodacom
M-power wananidai 50,000
Songesha na M-pesa 32,000
Mkopo wa brunch 23,000
Mkopo wa salio 1,800
Nadhani bora wafungie tu nianze upya
Sent using Jamii Forums mobile app
x100. Mwandishi wa habari naye kachanganya madesa kuanzia kwenye heading, contents vyote hakuna kinacho eleweka kwa ufasaha.Huyu anasema hivi,yule anasema vile.
Hivi kwanini wasimpe Haji Manara cheo cha msemaji wao.
Lakini jiwe si alisema hazitafungiwa,?wakizifungua nitajua tuna rais jitul tapeliLengo lake mwishoni atatokezea mheshimiwa sana raisi wa wanyongwe na kuamrisha kwa kelele nyingi sana hakuna kufungia laini ya wananji halafu wananji watasherehekea safi sana jiwe laisi sio raisi wa wanyongweeeee
Lugola ni taka taka tuKwani kiongozi Mweshimiwa Lugola si alisema kwamba laini hazitafungwa.....this is tanzania.
TAARIFA ZA AWALI ILISEMA HAMNA LAINI ITAKAYOFUNGWA. SASA HII TAARIFA HII NI KUCHANGANYA WANANCHI MAANA SIO KWAMBA WATU HAWATAKI KUSAJILI LAINI ILA HAWANA VITAMBULISHO KWA SABABU NIDA WAMESHINDWA KUTOA HUDUMA KWA WAKATIHuyu anasema hivi,yule anasema vile.
Hivi kwanini wasimpe Haji Manara cheo cha msemaji wao.