REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Nakubali injiniaNdio mana hata nida yangu nimetumia usajili feki, jina feki, umri feki, mahali feki, na vitambulisho vyangu vyote havifanani majina kuanzia lesen, kadi ya kliniki, kad ya bank, malipo ya tra, nk kwahy kunipata mm utaitaji utumie nguvu ya ziada ukisema uje mitandaon ndio kabisa lain za simu ninazotumia mm ni za mtu aliekufa miaka mitano nyuma na sio wa mkoa husika ila majina na sura tunafanana pia ninapoish natumia jina lingine, na kazin jina lingine, kwa wazaz jina lingine, kuna boya atauliza yatakukuta matatizo utashindwa kutambulika, ni hv matatzo yalinikuta nilipata ajar nikazima siku mbili alafu ndugu hawajui my take: tafute pesa mulipe madeni
wengine hata hawasomi ni kuallow allow tuShida njaa yako ya mkopo imekuponza. Wakati una install appp uliulizwa hivi, Allow app to access your contacts, ukaallow, allow app to access your location uka allow, allow app to access you photos and video uka allow. Hapo mchawi ni wewe siyo TCRA. Subiria waanze kurusha picha zako mtandaoni.
Makosa yako wewe kwanza dawa ya deni kulipa. Pili ulipoulizwa je unaruhusu app hii kuangalia namba za simu ulikubali badala ya kukataaBwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka
Hapo hadi anapokaa wanapajua. Picha zake familia na ukoo wanazo. Wasipompata yeye watampigia hadi mchungaji wake.wengine hata hawasomi ni kuallow allow tu
Deny hawanaga muda nayo wanakuwa washapagawa na kupata mkopo
TCRA wakikutaka wala hawahitaji majina yako wala suraNdio mana hata nida yangu nimetumia usajili feki, jina feki, umri feki, mahali feki, na vitambulisho vyangu vyote havifanani majina kuanzia lesen, kadi ya kliniki, kad ya bank, malipo ya tra, nk kwahy kunipata mm utaitaji utumie nguvu ya ziada ukisema uje mitandaon ndio kabisa lain za simu ninazotumia mm ni za mtu aliekufa miaka mitano nyuma na sio wa mkoa husika ila majina na sura tunafanana pia ninapoish natumia jina lingine, na kazin jina lingine, kwa wazaz jina lingine, kuna boya atauliza yatakukuta matatizo utashindwa kutambulika, ni hv matatzo yalinikuta nilipata ajar nikazima siku mbili alafu ndugu hawajui my take: tafute pesa mulipe madeni
yawe wewe husika na deny tu achana na allow🤪 otikiii ndo maana nikashtuka nilikuwa nataka nikope nitoweke🤣 nilipofikilia hivyo nikaacha kabisa,
Wanampigia mpaka Mchepuko mlioachana😁Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka
Mimi kuna siku walinipigia watu wa kukopesha hela sikumbuki jina la kampuni wakaniambia kua wameona ninawasiliana sana na "FULANI" ambae ni mdaiwa wao na wakimpigia hapokei.Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka
nafikiri wakati wa settings uliweka permission ya phonebook yako..Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka
hapo hiohio app uliotumia kuchukua mkopo inaweza ikawa ndo imetoa taarifa zako shida hamsomagi masharti ya hizo appsBwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka