Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachana na allow huwezi fanikisha unachokitaka. Dawa ya deni ni kulipayawe wewe husika na deny tu achana na allow
...Usikope Kwa Matapeli. Kopa Benki...Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka
Mnapoinstall hizo apps huwa mnaambiwa mtiki segemu kukubali terms and conditions mnatiki bila kusoma alafu kuna sehemu app inakuuliza ukubali app iweze access contacts zako, camera na kila kitu nyie huwa mnaona raha kuweka next, na kuendelea sasa madhara yake ndio haya mkuu, nape hawez kukutetea ulikubali terms and conditions , tulia calm down na lipa den la watu ofsaBwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka
...Usijisifu. Kuna Mahali Utakwama....Ndio mana hata nida yangu nimetumia usajili feki, jina feki, umri feki, mahali feki, na vitambulisho vyangu vyote havifanani majina kuanzia lesen, kadi ya kliniki, kad ya bank, malipo ya tra, nk kwahy kunipata mm utaitaji utumie nguvu ya ziada ukisema uje mitandaon ndio kabisa lain za simu ninazotumia mm ni za mtu aliekufa miaka mitano nyuma na sio wa mkoa husika ila majina na sura tunafanana pia ninapoish natumia jina lingine, na kazin jina lingine, kwa wazaz jina lingine, kuna boya atauliza yatakukuta matatizo utashindwa kutambulika, ni hv matatzo yalinikuta nilipata ajar nikazima siku mbili alafu ndugu hawajui my take: tafute pesa mulipe madeni
Tatizo ukigoma kuruhusu moja tu app haiwezi kuinstallyawe wewe husika na deny tu achana na allow
ukifanya hivyo utatumia miaka angalau mitatu kunipata na sio utanipata ndan ya nchi yako noo hapa penyewe nipo south A na ukijifanya unaniserch kutumia hizo mbinu zako ukaangalia location itakuonesha nipo mbeya kama unabisha njoo pm nikupe namba zangu unitafute, uone kwamba watu tumezamilia kutokulipa madeni, kama mtoa mada anavyolalamika afu usikute den lenyew buku saba posho ya siku ya enzi ya jamaa yetu chawa wa magu mr BIA YETU, na huyu wakutoa mada za kuisifu ccm mudawote lukas... nani sijuTCRA wakikutaka wala hawahitaji majina yako wala sura
Tutacheza na ip adress ya device zako tu
Otherwise uwe unabadili simu kila baada ya masaa matatu unatupa unanunua mpya
itachukua muda kukwama, baba anahela, mama anacheo, kaka yupo usalama wa taifa na nikiongoz mkubwa huko, mimi mwenyewe pesa ninayo ya kutosha ya kwenda nchi yoyote dunian na kukaa miaka 25 kula tu bila kufanya kazi na kila siku itatumika angalau dolla 8000 sasa kama hadi wewe hujanijua bado unazan nani atanijua
Duu kweli wewe ni Pipa hasa!Ndio mana hata nida yangu nimetumia usajili feki, jina feki, umri feki, mahali feki, na vitambulisho vyangu vyote havifanani majina kuanzia lesen, kadi ya kliniki, kad ya bank, malipo ya tra, nk kwahy kunipata mm utaitaji utumie nguvu ya ziada ukisema uje mitandaon ndio kabisa lain za simu ninazotumia mm ni za mtu aliekufa miaka mitano nyuma na sio wa mkoa husika ila majina na sura tunafanana pia ninapoish natumia jina lingine, na kazin jina lingine, kwa wazaz jina lingine, kuna boya atauliza yatakukuta matatizo utashindwa kutambulika, ni hv matatzo yalinikuta nilipata ajar nikazima siku mbili alafu ndugu hawajui my take: tafute pesa mulipe madeni.
Lipa denied acha porojoBwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.
Ile kadi ya nida ulihisi mwaliko wa harusiBwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.
TCRA wanahusika vipi na hilo wakati wewe mwenyewe ulipokua una install hiyo app ulikubali kuwapa access ya contacts zako zote?Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.
Tukubaliane tanzania imekuwa shamba la bibi watu wanafanya watakavyoTCRA wanahusika vipi na jilo wakati wewe mwenyewe wakati una install hiyo app ulikubali kuwapa access ya contacts zako zote?
Ulipowapa access ndiyo wakachukua hizo cintacts na hata ukipotea wanaomba namna zako kwa kwa hao contacts wako.
Kingime, kwenye issue ya mikopo majina ya wakopaji wengi siku hizi yanawekwa kwenye pool. Kabla ya kukupoesha wakitaka wanaweza kwenda kuangalia records zako kule kama una records za usumbufu kwenye kulipa.
Umemtaje napee unaomba jamvi msibani....Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.
Ulinzi wa data zako unaanza na wewe. Unapoinstall app ya kukopa kuna masharti pale wata access contact zako. Na wewe ukakubali na ukakopa kwao. Sasa unapodaiwa dawa ni kulipa. Wana access na location pia.Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.
Hawana uwezo wa kumpeleka polisiMimi kuna siku walinipigia watu wa kukopesha hela sikumbuki jina la kampuni wakaniambia kua wameona ninawasiliana sana na "FULANI" ambae ni mdaiwa wao na wakimpigia hapokei.
Hivyo nimwambie tu kua akiendelea kutopokea watampeleka polisi. Sababu simu yangu Ina Auto-Record nikamtumia tu ile audio.