TCRA, nawaombea msamaha Wasafi TV

TCRA, nawaombea msamaha Wasafi TV

Wasafi walishapigwa onyo na faini kwa mambo hayo hayo "kipindi cha woman matters", wakaja wakafungiwa week moja kwa sababu ya mambo hayo hayo "inshu ya babalevo" sahivi wamerudia Tena kosa.

Siwachukii wasafi ila hiyo adhabu ni msamaha tosha, walistahili zaidi ya adhabu hiyo waliopewa

Note: watu wanatumia zaidi ya miaka >2 chuoni kusomea uandishi wa habari kwa hiyo uandishi wa habari sio kazi rahisi kiasi hicho
Unapo zungumzia waandishi habar, Gigy Ni mwandishi?? Yule Ni msanii ambae alikodiwa tu kwenye tamashaTCRA iangalie upya adhabu yao
 
Mkuu uniwie radhi lakini ukweli ni kwamba una uwezo mdogo wa kufikiri sana.
Chombo cha habari kinaadhibiwa kwa maudhui kinayorusha kwa umma bila kujali kilikoyapata.
Chombo kinapaswa kuchuja habari ili ziendane na sheria,mila na desturi za jamii husika.

Kwa akili yako hiyo itakuwa sahihi pia kama runinga fulani ikionesha video za x ili mradi tu wao walialikwa kwenye tukio husika na sio waandaaji

Lile ni tamasha bos hebu chukulia kama lisingekuwa limeandaliwan wasafi bali wau binafsi halaf tv zote za burudani zikawa zinaonesha live wasafi/clouds/tve halaf gigy akafanya vile je tcra wangefungia tv zote? No wangefungia tamasha

Gigy aliingia na dera hakuna aliyetarajia atalivua na kumwaga radhi

Wasafi tv hawana kosa ila tamasha ndo lina makosa boa

Ahsante kwa kuhis uwezo wangu wakufikiri mdogo[emoji120]
 
Unapo zungumzia waandishi habar, Gigy Ni mwandishi?? Yule Ni msanii ambae alikodiwa tu kwenye tamashaTCRA iangalie upya adhabu yao
Gigy alikuwa pale kama muajiriwa wa wasafi na ndo maana kosa kafanya gigy ila walio adhibiwa ni wasafi
 
Mimi nashauri waongeze adhabu. WCB wamezidi uhuni na kupromote wasanii malaya. Sio siku nyingi walifungiwa kwa lugha za matusi,hawajifunzi?
Nachojiuliza ni kwamba viongozi waliokuwa backstage kabla ya giggy kupanda jukwaani hawakuona Kama kavaa nusu uchi paka wakasubiri yote yale yatokeeeee!!!!? Au ndo tunapigwa kiini macho tu!!!
 
Gigy alikuwa pale kama muajiriwa wa wasafi na ndo maana kosa kafanya gigy ila walio adhibiwa ni wasafi
Ubaya wa wale watu uwa wanalewa pamoja pombe zikiisha ndo wanatakumbuka makosa waloyafanya jana wakati wamelewa😁😁😁
 
Lile ni tamasha bos hebu chukulia kama lisingekuwa limeandaliwan wasafi bali wau binafsi halaf tv zote za burudani zikawa zinaonesha live wasafi/clouds/tve halaf gigy akafanya vile je tcra wangefungia tv zote? No wangefungia tamasha

Gigy aliingia na dera hakuna aliyetarajia atalivua na kumwaga radhi

Wasafi tv hawana kosa ila tamasha ndo lina makosa boa

Ahsante kwa kuhis uwezo wangu wakufikiri mdogo[emoji120]
Umeuliza na kujijibu mwenyewe, kwanini unadhani kama tv zote zingeonyesha maudhui hayo yanayokiuka taaratibu, miongozo na desturi za urushaji matangazo kuwa TCRA isinge ziadhibu ? Kituo kimeadhibiwa kwa kukiuka miongozo ya urushaji matangazo.
 
Gigy alifanya makosa kwenye show ya wasafi festival ma sio kwenye tv ya wasafi hivyo iliyopaswa kufungwa ni ile show

Gigy angekuwa amealikwa kwenye kipind chochote kinachorushwa na wasafi tv halaf akaharibu ndo wagepaswa kufungia tv

Tcra wamekurupuka
Walipaswa kukata urushaji mara baada ya kuona halifai kurushwa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mbona bado ipo hewani?
Adhabu inaanza lini? Au Mheshimiwa katoa tamko?
 
Lile ni tamasha bos hebu chukulia kama lisingekuwa limeandaliwan wasafi bali wau binafsi halaf tv zote za burudani zikawa zinaonesha live wasafi/clouds/tve halaf gigy akafanya vile je tcra wangefungia tv zote? No wangefungia tamasha

Gigy aliingia na dera hakuna aliyetarajia atalivua na kumwaga radhi

Wasafi tv hawana kosa ila tamasha ndo lina makosa boa

Ahsante kwa kuhis uwezo wangu wakufikiri mdogo[emoji120]
Kisheria unawezaje kuitenganisha wasafi festival na wasafi tv!

GIGY money aliingia mkataba na wasafi festival au wasafi tv!?

Wewe uliyeingia mkataba na. GIdy feza ndiye utawajibika kwa shortcomings za msanii wako wakati wa utekelezaji wake wa majukumu chini ya uangalizi wako.

Sisi tutajuaje..labda yeye kuanika dimwazi ilikuwa ni sehemu ya Terms of Engagement...

Hili liishe .. its fair maana kanuni zipo na adhabu hii sio tamko... Ipo kisheria.

Vet people you associate with.. kudos TCRA
 
Unataka kuwaaminisha wtz kuwa walioshoot na kurusha picha ya gigy walifanya hivyo kwa bahati mbaya 🤣

Damn
 
Serikali ioneeni huruma hii kampuni.

Kuna wawekezaji Watanzania walioweka mitaji yao hapo na kutoa ajira kwa Watanzania, ina wanyakazi wanaoendesha maisha yao na familia zao kupitia hapo, kodi zilipwazo Serikalini hvyo kuifungia kampuni ni kuumiza huo mnyororo tajwa hapo juu

Kama inawezekana wapunguzieni ukubwa wa adhabu au wapigwe hata faini, lakini total ban for 6 months ni parefu sana

Hvyo nami naungana na mleta mada kuwaombea msamaha WASAFI TV,
TCRA waoneeni huruma vijana HAWA mtaumiza biashara na maisha ya hawa wafanyakazi kwa ujumla
Wakifanya hivyo huoni itakuwa double standard? Yapo magazeti yamefungiwa kwa mda usiojulikana,kama ilivyo wasafi TV yale magazeti pia ni uwekezaji wa watanzania na yaliajiri watanzania ambao bila shaka pia waliathirika na hatua hizo.Mimi nadhani vitendo vyovyote vya utovu wa maadili hasa kwenye media vinasitahili adhabu kali.
 
Wafungiwe tu wanatoka sana nje ya maadili huwa naangaliaga kile kipindi cha magazeti cha kina Zembwela na Maulid Kitenge yani wanasoma magazeti kipuuzi kabisa. Na sijui huwa wanafanyaje interview zao mana katika mazingira ya kiwaida mimi nisingeweza kumuajiri mtu kama Zembwela au Baba Levo. Na watu waache ushabiki kwenye hili sababu tu moja ya wamiliki wa Wasafi ni Diamond NOOOOOOO kuna vyombo vingi sana tena vimefutwa kabisa
Nakazia.
 
Bado kule kwenye mabasi ya abiria yaendayo mikoani TCRA ni muhimu pia kufuatilia kuna upuuzi mwingi unaendelea.Unakuta wameweka nyimbo za kihuni bila kujali kuna watu wanasafiri na watoto wadogo,wakwe na hata mama zao.Just imagine umekaa siti mmoja na binti yako Mara wanaweka vedeo za wasichana wako nusu uchi wanacheza kimalaya unajisikiaje? Ina maana hili hawalifahamu?
 
Je wewe ni mwajiriwa pale?
Waliofungiwa completely ni wengi sana!, waliofungwa maisha magerezani wapo.
Nashangaa sana kuona mtu anatetea waonyesha pono.
 
Tatizo sio bakwata in wabunge wanaopitisha sheria hizi.....tulia kwanza dawa iingie
Mkuu hapa tunazungumzia basata na sio bakwata.
Acha kuvua chupi mchumba bado hajafika!
 
Back
Top Bottom