Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Nyama nikanunue buchani kwa hela yangu halafu niambiwe uile iishe leo leo kabla ya saa 6 usiku, la sivyo nitaifuata hata kama umeiweka kwenye jokofu. Nyambafu, shwaini.Muangalie na swala la muda hela yangu halafu napangiwa muda wa matumizi yaniiii...👊👊