Its all about the Moolah....
Hii serikali ni waroho wanaotaka kuvuna na kula hata wasipopanda..., wametuminya kwenye Bundle na huku wanafanya kile kile mwisho wa siku hata hizi packages huenda ni gharama kutokana na uroho wao...
Kutokuwepo kwa TCRA huenda ni bora kuliko uwepo wao..., Totally Useless...