rastar mjeshi
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 193
- 253
Hawawezi labda ingekuwa ni vya antennaTukiendelea kuvitumia watavizima? Au tutawajibishwa kisheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi labda ingekuwa ni vya antennaTukiendelea kuvitumia watavizima? Au tutawajibishwa kisheria
Hiki ndio kinawaukiza wapenda sokaIts all about the Moolah....
Hii serikali ni waroho wanaotaka kuvuna na kula hata wasipopanda..., wametuminya kwenye Bundle na huku wanafanya kile kile mwisho wa siku hata hizi packages huenda ni gharama kutokana na uroho wao...
Kutokuwepo kwa TCRA huenda ni bora kuliko uwepo wao..., Totally Useless...
Wew uliskia wapi ..? Umeme wa wire lessDunia inaingia kwenye umeme wa "wireless" yaani hakuna tena kufunga waya.
Porojo za mtaani hizo, jamaa kazibeba kama zilivyo [emoji3]Wew uliskia wapi ..? Umeme wa wire less
Hoja ya lugha kwa utandawazi si hojaNa kingine hawezi kuja bongo kwasbb matangazo yao ni kifaransa na sisi tunatumia kingereza(common wealth country)
Haujui hivi sasa zipo simu unachaji bila kuunganisha waya kwenye chaja, acha uvivu unasimu kubwa kwa ajili ya kuchati tu! Sijui nikuiteje.Wew uliskia wapi ..? Umeme wa wire less