TCRA yatolea ufafanuzi sheria ya umiliki wa laini moja iliyoanza kutumika leo

TCRA yatolea ufafanuzi sheria ya umiliki wa laini moja iliyoanza kutumika leo

TCRA. fanyeni mambo yenu kama Wasomi na Wataalam,kwa sheria yenu haina weledi kwa watanzania.
Licha ya kusajili lain kwanjia ya vidole kama njia salam ya kuzuia uhalifu bado uhalifu kwa njia ya mtandao unaendelea. Inaonesha mnafanya mambo kishamba sana kama sio kukurupuka na kutumia hisia kuliko akili.
 
TCRA. fanyeni mambo yenu kama Wasomi na Wataalam,kwa sheria yenu haina weledi kwa watanzania.
Licha ya kusajili lain kwanjia ya vidole kama njia salam ya kuzuia uhalifu bado uhalifu kwa njia ya mtandao unaendelea. Inaonesha mnafanya mambo kishamba sana kama sio kukurupuka na kutumia hisia kuliko akili.


TRA wapeni TCRA uzoefu wenu . Baadhi ya magari mnayoyasajili hufanya uhalifu lakini sijawahi kuwasikia mkileta sheria kudhibiti idadi ya magari ambayo mtu anapaswa kusajili ili kuzuia uhalifu.Ninyi mnatumia maarifa gani?
 
Wakati tunaanza usajili hawakututangazi hilo la kutoa ufafanuzi na kwanani, anyway sheria hii ilipitishwa na wabunge wa CCM bila kuhoji.
Sijui hata hii sheria ilipita lini asee?,
Anyway tcra nini maana ya kurasimisha namba?,maana naona wanatuwekea viswahili vya mijini,,wengine tuko bushi bana,,kurasimisha ndo kufanyaje?
 
Wapuuzi tu na serikali yao.Jiwe hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji sembuse urais.
 
Duuuhhhh ... Huu udictator huu utatufikisha pabaya
 
JoJiPoJi,

Ni aibu kwa TCRA kutoa majibu mepesi hivi. Wanatakiwa watueleze utaratibu wa kumiliki laini zaidi ya moja unafanyikaje.
Kama ni barua kwenda TCRA basi watoe template tujaze online na hard copy maisha yaendeleee.

Kitu kidogo ila wanafanya linakuwa jambo kubwaaa kutuvuruga wananchi.

I'm sure hata wabunge wa CCM waliopitisha huu wehu nao hawana habari na kitanzi walichojisetia.
Aisee inashangaza Sana. Kwa muktadha huu wajiandae kuwafunga watanzania wote maana karibia kila mtz ana miliki line zaidi ya 1
 
Hizi sheria huwa zinatungwa kwa kuwalenga zinawalenga watu maalumu ndiyo maana huko mitandaoni kuna watu wanaweka picha za utupu na wanajulikana ila hawakamatwi pamoja na zile sheria zao,wale wezi kwenye mitandao ya simu bado wanaendelea.
Naam nikweli inashangaza sana.
 
Back
Top Bottom