TCRA yawafungia Wasafi FM kwa kutumia lugha za matusi

Ila huyu anauboresha eh!? Msalimie D

Kwa huyu content ilikua inaeleweka ila watu waliamua kutafsiri walivyotaka wao..... kama JK alivyosemaga ukitaka kula lazima uliwe watu wakashangilia hahahaaa
Baba levo anaongea jinsi ya kukojolea wanawake wanene kha.....mambo gani hayo
 
Kila mmoja atapigwa spana kwa wakati wake aafi sana.
 
Hapo ndo kuna tatitizo mkuu, hata mimi nimekuwa nikijiuliza, ukijua kuongea ongea ndo unakuwa mtangazaji bora,? lakini hii qualification naiona inatumiwa na media za mwendo kasi tu, nimefuatilia kwenye media makini hazijaajili watu wa namna hiyo!
Radio one huwezi kukuta upuuzi wa namna iyo
 
Hivyo eh! Content ya kupiga akina mama na mashangazi na wewe mama unataka kupanuliwa wapi ilieleweka eh!? BAK kichwa kizito.

Kwa huyu content ilikua inaeleweka ila watu waliamua kutafsiri walivyotaka wao..... kama JK alivyosemaga ukitaka kula lazima uliwe watu wakashangilia hahahaaa
Baba levo anaongea jinsi ya kukojolea wanawake wanene kha.....mambo gani hayo
 
Tatizo yule mshamba wa Kigoma mgeni Wa jiji ndio aliowaponza anajiita Baba levo wamuondoe atasababisha kifungiwe jumla na kifutiwe leseni
 
Km ndo hivi bora wamefungiwa

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…