GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Eboo! sasa kumbe nimeshaajiriwa hapo TEKU?Tulia. Upewe kazi hapo hapo TEKU maana wanyaki mmejazana hapo kila Kona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eboo! sasa kumbe nimeshaajiriwa hapo TEKU?Tulia. Upewe kazi hapo hapo TEKU maana wanyaki mmejazana hapo kila Kona.
Weka hapa scriptNikuelekeze chuo nilichisoma ukaulizie? Au nikutumie script ya mayokeo?
WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
Mh! 3.8 aiseee hiyo gpa ni heshima hivi na yenyewe ni second upper class?Hiyo kwa Vyuo vya kata mbona kawaida 3.5 kitamboo. Pale UD, MUHAS na SUA mziki bado 3.8
Hongera sana penye nia pana njia. Hope ulibaki kufundisha chuo.Sana tu huyu sita msahau lakini pia material ya online yalinibeba hasa ya Havard na oxford nilikuwa silali nasakua usiku kucha
Unaibika wapi wakati mtu unasukuma slide kwa kutumia projector ah ah ....chuo sio sekondariUkipewa connection alafu ukawa kilaza huko darasani si utahaibika wakati wa akushusha material?
Hapana sikutaka kubaki nilienda kuajiriwa Mgodini Bangui Africa ya kati baada ya hapo nikarudi kujiajiri na kumiliki kampuni yangu na sasa naajiri mimi ila sio kuajiriwaHongera sana penye nia pana njia. Hope ulibaki kufundisha chuo.
Hii nchi ni Siasa na Biashara tu na unaweza toboa maisha sasa Professor kama Maganda anadai katolewa jalalani bado unatuaminisha kuna ulaji huko angalia uso wake na dress code yake wakati yupo mlimani na sasa ivi unafikiri suit anazopigilia sasa ivi angezivaa akiwa mlimaniTeuzi = 6M + Teuzi scale
Prof 6M
Associate Prof 4M+
Masters level ukishalamba u lecturer hukosi 3M+ per Month!
Ukianza na u TA ni 1.3M kitu kama hicho!
Kuwa Academician kunalipa sana tu. Ni vile penye miti hapana wajenzi.
Value inaletwa na hela tu sio kuwa eti kwa vile unafundisha chuo basi unaonekana kichwa Hayo mambo ya kizamani mtu kuheshimiwa kisa yupo serikali, Sasa ivi ni Hela tu ndo itakupa value no matter umeipatajeMishahara siyo mikubwa kivile. Sema labda ni mtu anaona anapata value. Kufundisha chuo si unajua lazima uwe kichwa. Wanaopiga pesa ni wale wenye vyeo kwenye vitengo. Si unajua kupata kipato nje ya mshahara.
Ni hatari, Maradhi ndio mwarobaini wa Wasanii mana hapo hakuna show off tena zaidi ya kutembeza bakuliShow off tu. Ngonja kuimba kuishe ndo utajua alikuwa anamiliki nini na nini ?Hayo magari showoff tu. Mwambie aonyeshe Card za gari.
Hio hela ya kawaida tu Mashirika ya umma kuna wanaovuta zaidi ya hapo na degree na diplomaDuh bachelor degree 1.67M sio salary ndogo kwa watumishi wa umma kwa maana ukienda Halmashauri unakuta Bachelor salary ni 700,000/-
Hivyo tutorial analipwa mara 2 yake
Well done. Maana ungebaki pale ungechemsha na kipindi hiki cha JPM hata vyuo vinaambiwa vipeleke gawio. Pesa za research hakuna.Hapana sikutaka kubaki nilienda kuajiriwa Mgodini Bangui Africa ya kati baada ya hapo nikarudi kujiajiri na kumiliki kampuni yangu na sasa naajiri mimi ila sio kuajiriwa
Funguka mkuu ulipenya vipi uko?Hapana sikutaka kubaki nilienda kuajiriwa Mgodini Bangui Africa ya kati baada ya hapo nikarudi kujiajiri na kumiliki kampuni yangu na sasa naajiri mimi ila sio kuajiriwa
Wazo zuri hiliTCU imetoa third edition ambayo imekuja na mabadiliko mengi.
Moja ya hayo ni kubadili kigezo cha kufundisha kuwa 3.5 kwa undergraduate badala ya 3.8 kwa vyuo vya serikali kama ilivyokua awali lakini 4.0 kwa Masters imeendelea kua ileile
Hii itatoa fursa kwa wanataaluma wenye sifa kupata nafasi na kupunguza uhaba wa wahadhiri vyuoni kutokana na kigezo cha awali
Sasa vijana mlioko vyuoni kazi kwenu pigeni ma GPA mkapige mpunga baada mteuliwe.
Mimi nimekuwa specifically kabisa kuwa ni Halmashauri sijasema Mashirika ya UmmaHio hela ya kawaida tu Mashirika ya umma kuna wanaovuta zaidi ya hapo na degree na diploma
Hilii ndo kigezo kikubwa cha kupata kazi chuo kikuu,nimefanya interview zao kama 3 hivi nimejua hiloo .ilii kuweka mambo fair inatakiwa zifanyike utumishii kama zilivyo kazi nyingine na sio vyuoni ,pia waalimu wa vyuo husika wasihusike wote ilaa baadhi ambao wanateuliwa kwa siri bilaa hivyoo wataajili watu waoHoja yako ina mashiko,sema pia kumbuka mara nyingi kila chuo kimekua na desturi ya kuajiri watu waliopitia kwenye vyuo vyao.NB:Connection pia ina uzito mkubwa
Ni Kweli wote tupo vizuri, tena vizuri sanaeuzuri humu JF hakuna mwenye chini ya upper second. woooote mpo vizuri. nadhani umenielewa
Pole mkuu, ndiyo maisha yalivyo.3.4 mpaka Leo hii GPA inauma sana point moja nimeshindwa kuipata niwe upper second class...kama hapa tena ajira ya uhakika isiyo na mambo mengi imenipita kushoto
Sent using Jamii Forums mobile app