JambaziSugu
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 245
- 210
kwa hizo cozi unazotaka pale ud huwezi ufaulu wako haukuruhusu kumbuka mwaka huu wenu wa BRN div one zipo nyingi sana so ww na hiyo div 2 huwezi ukaingia pale. kuna mwana hiyo ya petroleum katemwa na alikuwa na div one ya 10
mbna maksi zako ndogo sana mdg wangu.....msipende kulazimisha mambo...wewe ni kilaza UDSM utaishia kudisco tu
dah..kwakweli mimi aya ndio machaguo yangu vinginevyo ctaweza kwasababu nategemea chuo cha serikali kutokana na unafuu wa ada ukizingatia hali ya uwezo wa familia ntokayo...labda kama kunamtu anaye ifaham vizur iyo koz ya irrigation and water resources engeneering ya sua kama ni marketable
kwakweli mimi mwenyewe ni muhanga katika hilo nimechaguliwa chuo ambacho sikutegemea...sasa ivi nafuta ushauri kama inawezekana kuhama chuo na course...nlisoma pcm nkapata B-PHY C-MATHS AND B*(PLUS)-CHEM Ambayo ni divition two point tisa nlipangwa sua bachelor of science in water management and irigation engrneering sasa nlitaka kusoma civil au petrolium au artitecture at udzm even ardhi msaada jaman....
Hai! Tcu Wanatoa Lin Tena Post?
Hii isue ni ya kweli na imechanganya sana watu jumamosi ilikuwa wazi kabisa na tuliona,inaelekea kuna mtu wa TCU ndio aliweka hii kitu wazi then akaiondoa na itakuwa yeye ndio alitaarifu baadhi watu, kwan ilikuwa hewan muda mfupi sana baadae ikaondolewa. kuhusu watu wa TCU kuwa makini wapo ambao ni makini lakini kuna wengine ni bogas kabisa,elewa kuwa hawa watu walichukuliwa kutoka idara mbalimbali za serikali. mimi kuna mwalimu wangu wa cdti buhare yuko hapo
Ukistaajabu ya Bunge la Katiba utayaona ya TCU; Ama kweli taifa letu la Tanzania linauliwa na watanzania wenyewe hebu ona uozo unaofanywa hadharani na TCU kwa kufanya mambo hovyo hovyo kabisa. Kwa mwaka huu kumetokaea vichekesho katika chaguzi ya round ya kwanza baada ya wanafunzi wengi kuchaguliwa kozo ambazo kabisa hawakuomba na hawastahili kabisa kuzisoma. Kuna wanafunzi wamefaulu vizuri masomo ya HKL,HGL na wamechaguliwa kwenda kusoma shahada ya udaktari wa Binadamu kinyume kabisa na taaluma zao na kile walichokiomba wao. Vilevile kuna wanafunzi wamefaulu vizuri kabisa masomo ya PCB lakini wamepangiwa kwenda kusoma bachelor za masomo ya ualimu wa historia na geographia.
HIvi hawa TCU wanafanya kitu gani au mmetumwa kaharibi future ya wadogo zetu utampangaje mwanufafunzi kwenda kusoma kozi ambayo hakuiomba bila ridhaa yake na hafit kabisa katika vigezo vya hiyo koz, tunaomba msitishe selection mlizozitoa na mpitie upya na kuhakiki ipasavyo selection za wadogo zetu
Kozi za petroleum, civil na architecture za UDSM ni extremely competitive, zinachukua wanafunzi wachache hawafiki 50 kwa kila kozi. Performance yenu ya BRN ni magumashi matupu hivyo PCM wengi walipata pass za juu sana AAA=15pts, AAB+=14pts, AB+B+pts=13, B+B+B+-12pts, B+B+B=11pts, B+BB=10pts halafu ndio yako B+BC-9pts. Kwa taarifa yako pale UDSM hizo programs ni za vipanga tu wa Division I kali sio watu wenye Maths C. Dogo kajipange ukasome Irrigation engineering ukasimamie KILIMO KWANZA vijijini. Wacha ku-lament hapakwakweli mimi mwenyewe ni muhanga katika hilo nimechaguliwa chuo ambacho sikutegemea...sasa ivi nafuta ushauri kama inawezekana kuhama chuo na course...nlisoma pcm nkapata B-PHY C-MATHS AND B*(PLUS)-CHEM Ambayo ni divition two point tisa nlipangwa sua bachelor of science in water management and irigation engrneering sasa nlitaka kusoma civil au petrolium au artitecture at udzm even ardhi msaada jaman....
Acheni uropokaji bila kuwa na uthibitisho! There is NO way TCU wakakuchagua nje ya kozi 5 ulizoomba wewe mwenyewe, na hata ukiwa mhanga wa second round selection bado wewe mwanafunzi ndiye utakayechagua kozi yako mwenyewe, tofauti ni kwamba 2nd round selection unachagua kozi moja tu na inakuwa ktk basis ya first come, first served. na mwisho kabla majina hayajawa released ni lazima yapitiwe na wawakilishi wa vyuo vyote vinavyotumia mfumo wa CAS kudahili wanafunzi! ndomaana mpaka sasa hakuna official names zilizokuwa released kwasabab wiki hii ndo wakuu wa vyuo wanakutana na TCU na NACTE, jifunzeni kuwa watu wa kutafta ukweli badala ya kuropoka tu kwenye mitandao ya kijamii. hakuna mtu anayeweza kuchaguliwa nje ya kile alichokiomba, kama yupo aweke hapa ushahidi
Mr Emmy hivi tu kisema we mzushi kupindukia tuna kosea?. hebu we evidence wa hayo maneno yako hapa tuone. la sivyo wewe ndio unapotosha uma kwa kutoa thread za uwongo. jamani tumkemee huyu. official results tumeambiwa ni baada ya kikao cha joint admission 22/9 hayo mingine ni uzushi tu.
kwakweli mimi mwenyewe ni muhanga katika hilo nimechaguliwa chuo ambacho sikutegemea...sasa ivi nafuta ushauri kama inawezekana kuhama chuo na course...nlisoma pcm nkapata B-PHY C-MATHS AND B*(PLUS)-CHEM Ambayo ni divition two point tisa nlipangwa sua bachelor of science in water management and irigation engrneering sasa nlitaka kusoma civil au petrolium au artitecture at udzm even ardhi msaada jaman....
Jamani hao TCU wanachanganya wadogo zetu, ni kweli link ilitoka na majina ya chuo ulichopangiwa unaona, na madogo wengi wameona sasa wanavyosema sio official wanamaanisha nini?
It means hawapo makini na system yao kwa nini link ileak? Nani ameitoa?
wivu huo tcu oyeeee
Mr Emmy
Unasoma secondary, au chuo?