DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mtoa mada acha ujinga na roho mbaya na wewe ulishindwa vipi kitoa pesa ili usidisco.
Hakuna kitu kama hiko cha kutoa pesa kwani SUA ina uongozi na utaratibu mzuri sisi tuliopita huko kipindi cha nyuma tunafahamu mifumo ya SUA. Dogo anashindwa kulewa pale Dark City then anakuja na fake id kuchafua taasisi. Dogo keshaliwa kichwa.
 
Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.

Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.

Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.

Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.

Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.

TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.

Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.

NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.

Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
Jitahidi kuandika vizuri dogo, unaiabisha SUA.
 
Hakuna kitu kama hiko cha kutoa pesa kwani SUA ina uongozi na utaratibu mzuri sisi tuliopita huko kipindi cha nyuma tunafahamu mifumo ya SUA. Dogo anashindwa kulewa pale Dark City then anakuja na fake id kuchafua taasisi. Dogo keshaliwa kichwa.
Kwani jamaa anaongelea wakati uliopita au uliopo?
Pia,kwani akiwa amedisco ndio inahalalisha matendo ya wale waliojiongeza kwa kutoa pesa kama asemavyo kuwa ni halali yao?
Kama ni tuhuma za kweli zifuatiliwe tu.

Halafu mkuu mambo yote hayawi hivi tudhaniavyo yako,hivi uniambie uongozi huu wa sua unatambua thamani ya elimu nakataa,kuna kesi naijua nje ndani mtu ameuza ue,uongozi unajua ukawa unacheka cheka nae hadi takukuru wamekuja hapo na hadi leo hawajui nani nini kilitokea takukuru wakajua.

Na huyo aliyefanya hayo hajawajibishwa,yupo tu, hivyo tusikariri mambo ya zamani kuwa yapo hadi leo.Hii kesi inajulikana chuo kizima tafuta staff yoyote muulize.
Katika hilo chuo kile sio makini wala kisafi.
 
Kila nikiitazama tanzania ya miaka 20 ijayo sioni chema,naona giza,mleta mada si mtu mbaya bali ameweka mambo hapa baada ya kuona huko hayaendi,na ameahidi ushirikiano kutoa majina husika hapahapa,ila watanzania comments zao ni kumshambulia na kusema aache wivu.
Eti hiyo ndio akili.
Vyuo vyetu vikuu vimekuwa ni hovyo vyote! Hata UD ni uchafu tu! Unakuta badala ya taaluma wako bize kusikiliza m/kiti wa CCM anaaagiza nini. Viongozi wa vyuo vikuu wapo-wapo tu, vichwani wanawaza kusifiwa na wanasiasa badala ya ku-challenge maovu ya siasa na nchi. Wanahangaika kuficha udhaifu ili waendelee kushika nafasi.

Eti UD Mkandara alifikia hatua ya kufukuza mwanafunzi kwa sababu hakubali mambo yake! Tukanyamaza matokeo yake waliomaliza vyuo kwa mfumo dhaifu huo leo ni waajiriwa! Ndo hao sasa wanafanya haya!
 
IMG_6238.jpg

Natamani kujua kati ya wewe [mention]Hot bird [/mention] na SUA nani ana matatizo
 
Wambie vijana wasoma acha kuja kulialia humu Kama mtu wiki nzima uankimbizana na disco na kufanya biashara ukiwa chuo unategemeaa nn

Wasome waache ujingaa sua Ni chuo Bora San kuwepo nnchi hi mble ya udsm

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
aaaah SUA, ulichagua mwenyewe kuwa mtulivu upate burdani za chuo 😛
 
Wambie vijana wasoma acha kuja kulialia humu Kama mtu wiki nzima uankimbizana na disco na kufanya biashara ukiwa chuo unategemeaa nn

Wasome waache ujingaa sua Ni chuo Bora San kuwepo nnchi hi mble ya udsm

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Chuo bora mbele ya udsm,wanasuaso bana.
Hii imesababisha sua kudorora,ukiulizwa ubora wa sua utasemaje labda mkuu?

Kila nikipita mtaani naambiwa sua chuo bora ooh sua ngumu ila nikiuliza ubora au ugumu wake hawanijibu.
Nisaidie mkuu.
 
TUPITIE HUU UZI KIDOGO KUHUSU SUA.
Hili suala nililifatilia,hapo ndio nikajua yasemwayo ooh sua ni bora,ni ngumu,na yaliyopo hayafanani.

 
Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.

Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.

Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.

Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.

Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.

TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.

Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.

NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.

Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
SUA ina matatizo mengi sana.
Kwenda kusoma SUA ni kupoteza muda ili ukue na ukazurure au ukapate ajira ya boda boda.
Waache waendelee na upuuzu wao hata wakimaliza chuo hakuna ajira watarudi walikotokea.
 
Chuo bora mbele ya udsm,wanasuaso bana.
Hii imesababisha sua kudorora,ukiulizwa ubora wa sua utasemaje labda mkuu?

Kila nikipita mtaani naambiwa sua chuo bora ooh sua ngumu ila nikiuliza ubora au ugumu wake hawanijibu.
Nisaidie mkuu.
Unaambiwa sua mwanafunzi wa record management anasoma calculus,mtu aliyetoka hkl form six atasomaje hesabu chuo na hazitumii popote,utasikia sua ngumu.
 
Wacheni kulalama third attempt ndio nn ufikishi coz work unadsco kabla ya UE aijafika hata uwe na GPA ya 5.0 nyinyi mnalalama sua ngumu 😂 ety ohhoo ubinadamu aiwezekan mtu ana gpa ya 2+ adisco kwa third attemp ovyoo kabisa taratibu mlizojiwekea mfate msipindishe hyo kitu hatari inatoa picha mbaya na kushusha imani kwa chuo
 
Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
 
Actually,Sua is overrated.
Ipo siku tutajua ukweli wote,ni suala la muda tu.
Nasubiri uliposema baada ya wiki utaleta info jinsi wanavyocheza na elimu.
Mimi nina taarifa kadhaa,kama zitakua hizo nitasema kitu,ila haya uliyoandika yatakua na ukweli,kwa kuwa Sua ya sasa inajulikana ukanjanja wake.

Vipi yule mama aliyegawa UE na marks wa kemia yupo hapo bado?,alikua anafundisha chemistry of natural products,aligawa marks akasahau mwanafunzi husika hakufanya UE mwisho takukuru wakadaka habari.
Nasikia baada ya hapo akazawadiwa uprofesa,kama ni kweli SUA ijitafaka
 
Back
Top Bottom