DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

DOKEZO TCU na TAKUKURU itazameni rushwa iliyotawala Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huoni hapo TAKUKURU waliona tuhuma hazina ushahidi wa kutosha kumtia hatiani. Maana polisi wala TAKUKURU hawakumfungulia mashtaka, wewe unawezaje kulishika jambo hilo kuwa ni la kweli. Acheni kushika uzushi unaokusudia kumchafua mtu. Uzuri uongo haujawahi kuushinda ukweli, huwa ni suala la muda tu.
 
Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
Sua main campus ipo kata ya magadu
 
Huoni hapo TAKUKURU waliona tuhuma hazina ushahidi wa kutosha kumtia hatiani. Maana polisi wala TAKUKURU hawakumfungulia mashtaka, wewe unawezaje kulishika jambo hilo kuwa ni la kweli. Acheni kushika uzushi unaokusudia kumchafua mtu. Uzuri uongo haujawahi kuushinda ukweli, huwa ni suala la muda tu.
Acha upumbavu wako hapa,peleka hukohuko kwenye level zenu,zile hazikuwa tuhuma bali ukweli halisi ndio maana muhusika aliandika barua ya kuomba radhi na ipo kwenye mafaili,mwanafunzi alifutiwa matokeo akafanya mtihani upya mwezi wa 9 mwaka jana.
Wewe unatuambia tuhuma hazina ushahidi wa kutosha hapa,pumbavu.
Unadhani haijulikani michezo inayofanyika hapo chuo kila siku?.Wale wa idara ya hesabu waliokua wanachangisha pesa watoe ile pepa haijulikani?
Acha ujinga kabisa wewe mwanasuasa.Na mtachomolewa mmoja mmoja hadi mnyooke.Waalimu wazuri wapo hapo ila wabaya wapo pia mnataka kudanganya umma huu wa watanzania,acha ujinga.
 
Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
Kwahiyo mtoa mada akiwa ni mwanafunzi mwenye uwezo mdogo inahalalisha jambo analolalamikia?
Ina maana aliposema campus magadu amekosea ujumbe wake haujaeleweka?.Tuache ujuaji.
Wewe ndio unasababisha watu weusi kuonekana wapumbavu.
Halafu makosa hayo madogo hayafanyi key points kutoonekana,bahati mbaya utakuta na wewe ni mtumishi wa serikali na unalipwa mshahara.
 
Mtoa Mada ni mwanafunzi wa SUA huko ndaki ya Sayansi asilia na tumizi. Lakini ni mwanafunzi dhaifu sana kiakili, na kwa vyovyote yeye ni muathirik wa udhaifu wake sasa analalama mtaani. Nasema ni mwanafunzi dhaifu kwa sababu hata uandishi wake ni mbovu tena kwa kiswahili, Kwa kiingereza anaandikaje sasa. Hajui campusi inaitwa kwa jina gani hapo SUA, eti ile Magadu, hajui Magadu ni mtaa nje kidogo ya SUA. Huko mazimbu anakosoma hana habari kuwa ile sasa ni ndaki wala sio Kitivo. Hajui maana ya mtaala, kwake yeye ratiba ya masomo mwaka 2020 ni mtaala, alafu huyu anasomea ualimu. Kusitisha uanafunzi wake SUA, kwa huyu ni halali, arudi nyumbani akajipange atafute maisha mengine, sio lazima kupata degree.
Nikiangalia, hata wewe uliyeandika ni mwalimu wake dhaifu, kwa uandishi wako. Hujui neno ni campus, umeandika campusi. Neno halafu umeandika alafu! Kusomea ualimu ni nini?
HITIMISHO: wewe uko hoi kuliko mwanafunzi wako kwa sababu, hukuweza kumuelimisha tangu mwanzo. Ndiyo lengo lake, kuja chuoni kwako.
 
Hii nchi Ina ujinga sana watu wanatetea uovu mnaotetea wote vilaza na mmefaulu Kwa rushwa au chabo
 
Mimi ninachojua pale SUA especially kuanzia 2014, sababu mimi nimetoka hapo Main Campus 2015, mambo yalibadilika, kama mleta mada alivyowasilisha.

Kuna UE, Sup., Third attempt(Ambayo ukifeli sup mara ya pili ni unaliwa kichwa)

Mnamo 2014, Kiliongezeka kitu kinaitwa Retake, baada ya Uasisi wa mfumo wa SUASIS, Retake(Baada ya kushindwa hiyo sup. Ikiwa ni third attempt level), uta-carry hilo somo na utafanya mtihani wake kwenye semester husika.

Naomba kuwasilisha na kama mambo yamebadilika nipo kupokea marekebisho.
 
Wewe soma, acha Siasa za kijinga, unaenda kucheza disco Kila siku Samaki Samaki, mambo yamekuharibikia unakuja kulia huku
Umeandikiwa kitu kingine, wewe unasema ni siasa. Kuna uhusiano gani wa alichoandika na siasa? Au unadhani kila mtu anasema CCM, CHADEMA, CUF, ACT.... Kuza akili yako ikupe umaarufu
 
We yanakuhusu nini,
Unaeweza ukawa sahihi ila binadamu ukianza kuona mambo ya watu wengine yanakuumiza roho mpaka unatamani kulia na kupasuka ujue ni dalili za mwisho kabisa za kukaribia kuwa ...........
Watu wenye maoni ya kijinga-jinga kama wewe huwa siwaachi. Kwa hiyo unataka nawe tukuache na tabia yako ya ushoga? Sisi inatuumiza sana kukuona una tabia hiyo miongoni mwetu!
 
Watu wenye maoni ya kijinga-jinga kama wewe huwa siwaachi. Kwa hiyo unataka nawe tukuache na tabia yako ya ushoga? Sisi inatuumiza sana kukuona una tabia hiyo miongoni mwetu!
Huo ndo uchawi, ushoga afanye mwingine kuumia uumie wewe, utakufa siku sio zako
 
Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.

Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.

Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.

Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.

Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.

TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.

Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.

NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.

Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.

Uliposema wewe ni staff ambaye hujaajiriwa na serikali hapo chuoni nimekuona ni muongo. Unakuwaje staff wa taaisisi ya serikali na serikali haijkuajiri?
 
Hao mabwege wa sasa hawasomi wanajifanya mabrother men na masista du then wanakuja huku kuchafua watu. Kudisco haikuamza leo tena bora yenu passing mark sijui 21 au 31 then mna carry na kulalamika. Tuliosoma kipindi cha nyuma kabla semister system ndio tunajua ugumu wa SUA. Hao wa sasa hakuna kitu na wanaleta majungu humu.
tumesoma na kuruka kwanja downtown, mo town, samaki samaki na tukatusua huyu yeye labda hakubalance muda SUA BILA kukomaa hutoboi na ma prof wakati mwingine wanatuhurumia wange amua kukaza wachache sana wangeoboa
 
Uliposema wewe ni staff ambaye hujaajiriwa na serikali hapo chuoni nimekuona ni muongo. Unakuwaje staff wa taaisisi ya serikali na serikali haijkuajiri?
Bado nlikuwa najiuliza eti mi ni staff ila sjaajiriwa hapa chuoni😆😆😆 afu anajichanganya mara story za "naskia" mara haya nimeyashuhudia mwenyewe" sasa hapo linafanyiwa kazi lipi anatoa malalamiko na ushuhuda utafikiri shuhuda wa ajali barabarani khaaa....
 
Bado nlikuwa najiuliza eti mi ni staff ila sjaajiriwa hapa chuoni😆😆😆 afu anajichanganya mara story za "naskia" mara haya nimeyashuhudia mwenyewe" sasa hapo linafanyiwa kazi lipi anatoa malalamiko na ushuhuda utafikiri shuhuda wa ajali barabarani khaaa....

haaaa haaaa
 
tumesoma na kuruka kwanja downtown, mo town, samaki samaki na tukatusua huyu yeye labda hakubalance muda SUA BILA kukomaa hutoboi na ma prof wakati mwingine wanatuhurumia wange amua kukaza wachache sana wangeoboa
SUA bana ni rahisi na ni ngumu pia...nakumbuka tulikuwa tukifanya tests nyingi jpili, watu tunaondoka ijumaa kwenda dar kuruka viwanja unarudi jpili asubuhiiiii na abood za kwanzakwanza sa 8 sjui sa 9 test hii hapa😄😄😄😄 na tulitoboa kibishi na vijiji freedom Square
 
Mtoa mada siku hizi zile fourth attempt hazipo? Nakumbuka kama zilikuwepo enzi hizo
 
Back
Top Bottom