Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Hakuna kitu kama hiko cha kutoa pesa kwani SUA ina uongozi na utaratibu mzuri sisi tuliopita huko kipindi cha nyuma tunafahamu mifumo ya SUA. Dogo anashindwa kulewa pale Dark City then anakuja na fake id kuchafua taasisi. Dogo keshaliwa kichwa.Mtoa mada acha ujinga na roho mbaya na wewe ulishindwa vipi kitoa pesa ili usidisco.
Jitahidi kuandika vizuri dogo, unaiabisha SUA.Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.
Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.
Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.
Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.
Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.
TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.
Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.
NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.
Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
huna akili.Wewe soma, acha Siasa za kijinga, unaenda kucheza disco Kila siku Samaki Samaki, mambo yamekuharibikia unakuja kulia huku
Kwani jamaa anaongelea wakati uliopita au uliopo?Hakuna kitu kama hiko cha kutoa pesa kwani SUA ina uongozi na utaratibu mzuri sisi tuliopita huko kipindi cha nyuma tunafahamu mifumo ya SUA. Dogo anashindwa kulewa pale Dark City then anakuja na fake id kuchafua taasisi. Dogo keshaliwa kichwa.
Vyuo vyetu vikuu vimekuwa ni hovyo vyote! Hata UD ni uchafu tu! Unakuta badala ya taaluma wako bize kusikiliza m/kiti wa CCM anaaagiza nini. Viongozi wa vyuo vikuu wapo-wapo tu, vichwani wanawaza kusifiwa na wanasiasa badala ya ku-challenge maovu ya siasa na nchi. Wanahangaika kuficha udhaifu ili waendelee kushika nafasi.
Eti UD Mkandara alifikia hatua ya kufukuza mwanafunzi kwa sababu hakubali mambo yake! Tukanyamaza matokeo yake waliomaliza vyuo kwa mfumo dhaifu huo leo ni waajiriwa! Ndo hao sasa wanafanya haya!
Nahisi wote wawili,sua kuna kitu hakiko sawa,na jamaa ameamua kuuambia umma,sema uuma wenyewe hautaki kufatilia haya mambo.View attachment 2560930
Natamani kujua kati ya wewe [mention]Hot bird [/mention] na SUA nani ana matatizo
Chuo bora mbele ya udsm,wanasuaso bana.Wambie vijana wasoma acha kuja kulialia humu Kama mtu wiki nzima uankimbizana na disco na kufanya biashara ukiwa chuo unategemeaa nn
Wasome waache ujingaa sua Ni chuo Bora San kuwepo nnchi hi mble ya udsm
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tena kwa kuchora na mavi ukutani. Shenzi sana hawa wanaomshambulia mleta mada.Nadhani ameandika ili wenye akili timamu waione. Siyo wale walioacha majina yao choo cha shule ya sekondari.
SUA ina matatizo mengi sana.Ninaandika mambo haya kwa masikitiko kutokana na mustakabali wa elimu ya nchi inavyoharibiwa na baadhi ya viongozi kutojali.
Leo nitatoa habari za hali ya rushwa na kutojali ubora wa elimu iliyotawala SUA, hiki ni chuo kikuu kilichopo hapa Morogoro, chenye kampasi kuu Magadu na kitivo kingine kipo Mazimbu.
Katika mtalaa wao wa masomo wa mwaka 2020 na kuendelea, mwanafunzi akifeli mitihani ya supplementary ataruhusiwa kufanya upya mtihani wa kozi husika hii inaitwa “third attempts” ila akifeli hapo ndio anakuwa amedisco.
Sasa cha kusikitisha kuna wanafunzi kadhaa wa kozi za Ualimu Chemistry na Biology (ECB) wamefanya hiyo mitihani ya “third attempts” na wamefail ila bado wameendelea na chuo huku wenzao waliofail wakidisco. Hii imeulizwa sana kwa watawala hapa college ila hakuna majibu ni kama wameziba masikio.
Mitihani hiyo ni CHE100 na ZOO (hizi ZOO ni nyingi).
Nimeamua kuileta hapa maana tunasikia kuna watu wamekula pesa kucheza na elimu hapa chuo, hata ukitoa taarifa hakuna anayefanyia kazi. Haya mambo yametawala sana hapa Mazimbu kuliko kule Magadu ilipo kampasi kuu, japo kule yapo pia ila hawachezi na mitihani wale jamaa.
TCU na TAKUKURU fatilieni haya mambo, inaumiza kuona kuna watu wanapeta bila kupingwa kisa ukabila, udini na rushwa, yaani mwanafunzi kufahamiana na lecture tu hapo uhakika wa kupata A upo, sio fair aisee.
Mimi ninafanya kazi hapahapa chuoni japo sijaajiriwa na serikali wala SUA, ila ni staff kwenye kazi yangu hapahapa, hivyo nimeandika nilichokiona kwa macho yangu lakini mkiona taarifa yangu haina ukweli njooni muhakikishe.
NB: Mkitaka majina ya wahusika yaani hao wanafunzi nitawapa hapahapa, situmii PM, ila nimeshawatajia kozi husika angalieni mtapata ukweli.
Leo nimetoa taarifa hii, kuna ushahidi nakusanya jinsi elimu inavyochezewa hapa chuoni huku TCU na Wizara ya Elimu zikidanganywa, hii nitaileta baada ya wiki toka leo.
Matko yako,chkla wewehuna akili.
Unaambiwa sua mwanafunzi wa record management anasoma calculus,mtu aliyetoka hkl form six atasomaje hesabu chuo na hazitumii popote,utasikia sua ngumu.Chuo bora mbele ya udsm,wanasuaso bana.
Hii imesababisha sua kudorora,ukiulizwa ubora wa sua utasemaje labda mkuu?
Kila nikipita mtaani naambiwa sua chuo bora ooh sua ngumu ila nikiuliza ubora au ugumu wake hawanijibu.
Nisaidie mkuu.
Actually,Sua is overrated.
Ipo siku tutajua ukweli wote,ni suala la muda tu.
Nasubiri uliposema baada ya wiki utaleta info jinsi wanavyocheza na elimu.
Mimi nina taarifa kadhaa,kama zitakua hizo nitasema kitu,ila haya uliyoandika yatakua na ukweli,kwa kuwa Sua ya sasa inajulikana ukanjanja wake.
Vipi yule mama aliyegawa UE na marks wa kemia yupo hapo bado?,alikua anafundisha chemistry of natural products,aligawa marks akasahau mwanafunzi husika hakufanya UE mwisho takukuru wakadaka habari.
Nasikia baada ya hapo akazawadiwa uprofesa,kama ni kweli SUA ijitafaka